Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

View attachment 2138109

Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.

Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.

Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.

Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.

Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?

Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.

Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.

Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.

Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Ukraine waafrika wananyanyapaliwa.wale mapadri?

Afrika wananyanyapaliwa kila kona ya dunia uzunguni,uhindini,arabuni nk.

Wamarekani weusi wanawanyanyapaa waafrika kuona wamarekani weusi ni bora zaid ya waafrika wengine.

Watanzania wenyewewe mnanyanyaliana.
 
Ukraine waafrika wananyanyapaliwa.wale mapadri?

Afrika wananyanyapaliwa kila kona ya dunia uzunguni,uhindini,arabuni nk.

Wamarekani weusi wanawanyanyapaa waafrika kuona wamarekani weusi ni bora zaid ya waafrika wengine.

Watanzania wenyewewe mnanyanyaliana.
🤣😅
 
Wakristo wengine pombe siyo haramu.

Hata hivyo hoja kuu no kudanganyika kirahisi.
Hivyo bikra 72 umetoa kifungu gani? Kuhusu pombe hata biblia imezungumzia siku ya mwisho kutagongwa vyombo


Mathayo 26:29 BHN​

Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.”

Hapa mada kwa nini mnatapeliwa kirahisi? Usihamishe mada
 
Hivyo bikra 72 umetoa kifungu gani? Kuhusu pombe hata biblia imezungumzia siku ya mwisho kutagongwa vyombo


Mathayo 26:29 BHN​

Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.”

Hapa mada kwa nini mnatapeliwa kirahisi? Usihamishe mada
We Wakala wa shetwani shindwa kwa jina la Yesu.

Hiyo ni damu wala si pombe, usirudie tena kujizima data kichwani mwako.



MATHAYO 26:26-29

"Nao walipokuwa wakila Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle; huu ndio mwili wangu

Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, Nyweni nyote katika hiki;
kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.

Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu."
 
Wakristo wanapigwa kwenye "miujiza"..ni mtu mjinga tu ndo atataka kuona miujiza
 
  • Thanks
Reactions: Tui
IMANI !!!

Utamcheka vipi fulani anatapeliwa kwa kuamini wakati mfumo mzima wa Dini umejengwa katika Imani ?

Chochote kile katika imani kwa macho ya asiyeamini logically kinaweza kuonekana kama utapeli
 

Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.

Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.

Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.

Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.

Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?

Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.

Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.

Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.

Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Kuna wale wanaoaminishwa wakijilipua na mabomu na kuua watu wengi,wanaenda peponi na huko peponi watapewa zawadi ya mabinti bikra 70!!!
Wote ni Sawa tu,Swala la kudanganyika halina dini.
 
We Wakala wa shetwani shindwa kwa jina la Yesu.

Hiyo ni damu wala si pombe, usirudie tena kujizima data kichwani mwako.



MATHAYO 26:26-29

"Nao walipokuwa wakila Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle; huu ndio mwili wangu

Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, Nyweni nyote katika hiki;
kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.

Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu."
Yesu alikuwa anagonga mvunyo kama kawaida, ndio maana hata muujiza wake wa kwanza ulikuwa kutengeneza gambe la upako
 
Divai ni tofauti na mvinyo.
Mwanzo 9:20-23
[20]Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
And Noah began to be an husbandman, and he planted a vineyard:
[21]akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
And he drank of the wine, and was drunken; and he was uncovered within his tent.
[22]Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
And Ham, the father of Canaan, saw the nakedness of his father, and told his two brethren without.
[23]Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.
And Shem and Japheth took a garment, and laid it upon both their shoulders, and went backward, and covered the nakedness of their father; and their faces were backward, and they saw not their father's nakedness.
 
Divai ni tofauti na mvinyo.
Screenshot_20220304-154310_Biblia.jpg
 
Back
Top Bottom