Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Hoja ni kwamba hizo dini hazipo afrika tu pekee yake.Nione nimeundiwa kwa Nia mbaya ?!!! Unafahamu vitangulizi vya ukoloni Africa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja ni kwamba hizo dini hazipo afrika tu pekee yake.Nione nimeundiwa kwa Nia mbaya ?!!! Unafahamu vitangulizi vya ukoloni Africa?
Ushoga pia haupo Africa peke yake haitoshi kusema ushoga Ni halali kisa upo kila mahaliHoja ni kwamba hizo dini hazipo afrika tu pekee yake.
Sizungumzii uhalali nazungumzia kuwa hizo dini zipo na sehemu zengine hivyo hizo dhana za kuona kama hizo dini tumeletewa afrika tu hazina mashiko.Ushoga pia haupo Africa peke yake haitoshi kusema ushoga Ni halali kisa upo kila mahali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manabii wanawapigeni sana hela na viungo vya uzazi pia
Dini na ushoga Africa zote zmekuja kwa mtindo mmoja sijasema tumeletewa Africa tu nmesema sio desturi zetu ndo maana zinatushinda kila kilichopo kwenye hiz din kipo kwa walegwa husikaSizungumzii uhalali nazungumzia kuwa hizo dini zipo na sehemu zengine hivyo hizo dhana za kuona kama hizo dini tumeletewa afrika tu hazina mashiko.
Kipi kinachotushinda kwa sababu sio desturi zetu? mkuu unalalamika bila kutoa ufafanuzi.Dini na ushoga Africa zote zmekuja kwa mtindo mmoja sijasema tumeletewa Africa tu nmesema sio desturi zetu ndo maana zinatushinda kila kilichopo kwenye hiz din kipo kwa walegwa husika
Makerubi wamechachamaaEbu kwanza, hiyo video nini kimetokea? 😁😁😁😁
HahahaaaaaMtu akifa shahidi atapewa wanawake BIKRA 72 wenye matiti yaliyosimama na macho ya duara.
Je mwanamke atapewa nini?
Makatazo yanatokana na athari zake kwenye maisha ya dunia,angalia athari za pombe na zinaa duniani,maisha ya akhera ni tofauti na duniani,ukilewa akhera hutoendesha gari hovyo na kusababisha ajali kwa kuwa hakuna gari huko Wala fly over,hakuna uzazi huko kwamba utasababidha watoto wa mitaani,
Mambo yanayokatazwa kwenye dini Yana athari kwa jamii hayakatazwi tu kumkomoa binadam
Mbona hao manabii wa mitume wazamani walitoa kafara za kichinja na kumwaga damu za wanyama na walibarikiwa..leo mwafrika akifanya ni ibada ya mashetani..hatudanganyiki tena..bakini na uongo wenu.Shetani anao uwezo wa kuchukua sura na roho ya mtu au ndugu yako aliekufa na kujifanya ndie yeye.Kutambika ni ibada ya kuzimu kuchinja mnyama ni kafara ya damu ile damu inayomwagika ni chakula cha shetani kwa lengo la kuimarisha maagano Kati ya mwanadamu na shetani kwa kuunganishwa na damu. Kinachofanyika pale ni kumuabudu shetani kupitia kivuli cha ndugu. Mtu akishakufa hana msaada tena hata kuwaomba watakatifu yote ni kumuabudu shetani. Mizimu ni wakuu wa giza wanaotawala eneo fulani mfano ukoo, familia, eneo. Mizimu ni mashetani yanayovaaa roho z marehemu waliokufa na ujua historia au asili ya familia au kizazi fulani
Mkristo apaswi kutoa kafara ya damu.Mambo yote ya kale yaliisha pale msalabani saa tisa alasiri. Atuombi kwa kuchinja bali kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth yeye alifanyika kafara kwa kumwaga damu yake Ili sisi tuwe huru. Matambiko ni ushirikina, matambiko ni mlango wa kufungua roho chafu za kuzimu zitawale maisha yako.Mbona hao manabii wa mitume wazamani walitoa kafara za kichinja na kumwaga damu za wanyama na walibarikiwa..leo mwafrika akifanya ni ibada ya mashetani..hatudanganyiki tena..bakini na uongo wenu.
#MaendeleoHayanaChama
karibu kwenye UislamuAise Buji Buji ahsante sana kwa kuleta mada hii.Ninachowashangaa wakristo pengine tunaweza kusema ndio waliosoma elimu dunia kuliko waislam lakini mkristo kumuingiza mkenge ni rahisi sana kuliko muislam.
Waislam si wongo sio watu wa kuwaingiza mkenge pamoja na kwamba tunadai hawana elimu dunia kubwa kwa wingi.
Je ulishasikia muislam anajiita nabii? au mtume nadhani akitokea kichwa na shingo yake itagombewa kama mpira wa kona.Uislam nimegundua sio dini ya kinafiki .Ona babu wa Loliondo marehemu RIP alivopagawisha watu.
Buji Buji wanawake ndio wahanga wa hili tatizo imefikia mahali nina mpango wa kumpa talaka mke wangu nikimpa matumizi pesa zote anapeleka huko.Nyumba yangu imegeuzwa kanisa na makelele.
Nilimpa uhuru wa kuabudu lakini unanitokea puani.
Viungo vya uzazi unamaanisha nn mkuu wanaliwa kabisa au ? Acha uhuniManabii wanawapigeni sana hela na viungo vya uzazi pia
Hapa ulijidai hujaelewa kitu, ukajidai mtakatifuViungo vya uzazi unamaanisha nn mkuu wanaliwa kabisa au ?
Hapa pepo la Makerubi ya mfalme Zumaridi yakakupandaAcha uhuni
Ni kweli watu wanapishana hawa wa imani hii wanaenda kwa waganga wengine wanaenda kwa manabii, yaani ni mchanganyiko wote kuna kitu wanatafuta nje ya imani zao
Waislamu wanaoenda kufanyiwa miujiza kanisani | Nini tatizo?
Sawa..ila wewe wakifanya kinakuuma nini baki na imani yako ya kuletewa usiyejua utokako..upo upo tu mtumwa wa akili wewe.Mkristo apaswi kutoa kafara ya damu.Mambo yote ya kale yaliisha pale msalabani saa tisa alasiri. Atuombi kwa kuchinja bali kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth yeye alifanyika kafara kwa kumwaga damu yake Ili sisi tuwe huru. Matambiko ni ushirikina, matambiko ni mlango wa kufungua roho chafu za kuzimu zitawale maisha yako.
Nyota na mwezi maana yake nini?karibu kwenye Uislam