Akili ya mtu hupelekea kufanya huo upumbavu unaouongelea sio kilevi. Hivi wewe unadhani ni wote ambao wanafanya huo upumbavu wakilewa?
Mfano mzuri ni Mama yangu mkubwa, huwa akilewa anaenda kujipumzikia ndani hiwezi kusikia anabwabwaja kuongea upumbavu.
Mwingine ni Baba yangu, yeye kwanza hanywi sana kwasababu ufahamu aliyopewa na MUNGU unamsaidia kutambua madhara ya excessive use of alcohol so huwa anatumia kiasi then anaenda kujipumzikia ndani.
Ugaigai wote unaofanywa na walevi ni matumizi mabaya ufahamu ambao ni zawadi kutoka kwa MUNGU.
Usilete ujinga wa kusema eti mbinguni watu wakilewa hawawezi kuleta maafa kwanza nani amekwambia watalewa? nani amekwambia mbinguni kuna bia? Nani amekwambia mbinguni kuna gongo,henessy na mapombe mengine?
Acheni kupotosha watu matapeli wa kifikra nyiee!!