Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Nilivyokua nakua nilipata habari ya Kibwetele nilishangaa sana maana walikua waumini wengi sana aliowachoma moto na yeye kutokomea na mali kusikojulikana...hili tatizo lipo kote na tatizo ni Elimu mtu mwenye Elimu yake sawa sawa hawezi kuwa mjinga kiasi hicho cha kufata mkumbo...
 
Nilivyokua nakua nilipata habari ya Kibwetele nilishangaa sana maana walikua waumini wengi sana aliowachoma moto na yeye kutokomea na mali kusikojulikana...hili tatizo lipo kote na tatizo ni Elimu mtu mwenye Elimu yake sawa sawa hawezi kuwa mjinga kiasi hicho cha kufata mkumbo...
Kuna watu wana PhD lakini wanapigwa kiboya tu.
Ukiwa extremist unapigwa tu. Kuwa na kiasi, hoji, dadisi, tafiti, fanya maamuzi sahihi
 
Mkristo/yahudi ama pagani kabla ya kusilimu alikuwa akitumia jina la James, mapunda cjui shoziniga. Sasa mtoto na baba wote wamesilimu wakaitwa majina mazuri ya kiisilamu Abdallah, Said, Suleiman n.k. na kuachana na majina ya kikafiri. Sasa hapo unataka akupe jina gani tena mzehe. Wakati majina mazuri ndiyo haya ya kiislamu.
Majina ya Kiafrika ndiyo majina mazuri, na ndio fahari yetu. Majina ya kigeni yameletwa na tamaduni haramu zilizo tupeleka utumwani. Nalionea fahari sana jina langu
 
Kunachofanywa na manabii fake kina mwamposa na wenzake ni utapeli ambao ulishafanywa na televangelists huko nchini marekani mwanzoni mwa miaka ya 2000 , wanahubiri kuhusu mafanikio na pesa tu. Yaani mzunguko wote wa mahubiri yao yanaangukia ktk kupata pesa kwa wajinga wengi wanaowafuata na kweli wamefanikiwa ktk hilo.

Chupa ya maji ya sh 300 ya kampuni ya canada wanawauzia watu kwa sh 2000.Chumvi ya jero mtu anauziwa 5000-10000.
Wewe kinachokuuma hasa nini..kaa kutulia injili ienezwe..watu waokolewe..waondokane na majini na mashetwani..


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dini ya wavaa suicide vest..wakuiamini hii ni punguani wa akili.

Bora nikatambike makaburini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa nakujua ni dhihaka kwa Uislamu kwenda mbele
kwani ukiendelea kutambika uko makaburini mwisho wa siku nani atakayeenda kuchomwa moto ni mimi au wewe?

Sisi tunawalingania kwenye Usawa hamtaki dharau,jeuri na kiburi ndo muloweka mbele

hlf ety kutambika makaburini sasa nani kakwambia mfu tena alooza ety akusaidie ww ulohai na nguvu zako ni wajinga pekee ndio wanaoamini.

NB:Uislsmu ni dini ya kweli isiyo na shaka ndani yake.
 
Majina ya Kiafrika ndiyo majina mazuri, na ndio fahari yetu. Majina ya kigeni yameletwa na tamaduni haramu zilizo tupeleka utumwani. Nalionea fahari sana jina langu

Mimi nakupinga. Majina ya kiafrika ni majina ya kikafiri pia. Muisilamu kama muisilamu anaejitambuwa hawezi jiita jina la kiafrika/kikafiri eti kwa sababu ya utamaduni wa kiafrika na kuachana na majina ya imani yake 😁. Wakati kuna majina bora kuliko yote duniani kama vile MUHAMMAD, ABDALLAH, SALUM, SAID ABDULLATIF, ABDULQADIR, RAMADHAN, SHAABAN, RAJAB, SULEIMAN. Sasa mtu ajiite GONDWE, MAPUNDA, TATU, PILI, ISHENGOMA, RUGEMALILA, SHADRAKI, NGOLO, RUDIGER N.K, huu utakuwa wendawazimu.
 
Mimi nakupinga. Majina ya kiafrika ni majina ya kikafiri pia. Muisilamu kama muisilamu anaejitambuwa hawezi jiita jina la kiafrika/kikafiri eti kwa sababu ya utamaduni wa kiafrika na kuachana na majina ya imani yake 😁. Wakati kuna majina bora kuliko yote duniani kama vile MUHAMMAD, ABDALLAH, SALUM, SAID ABDULLATIF, ABDULQADIR, RAMADHAN, SHAABAN, RAJAB, SULEIMAN. Sasa mtu ajiite GONDWE, MAPUNDA, TATU, PILI, ISHENGOMA, RUGEMALILA, SHADRAKI, NGOLO, RUDIGER N.K, huu utakuwa wendawazimu.
Majina ya mateja hayo, Mwamedi a.k.a Mudi, Addalla a.k.a Dulla, Ramadhani a.k.a Rama, Shabani a.k.a Shabby, Said a.k.a Side, Rajab a.k.a Roja.
Hayo ni majina ya laana, mateja, vibaka na majambazi ndio hayo majina ya majitu ya hovyo yaliyorundikana jela.
 
Mimi nakupinga. Majina ya kiafrika ni majina ya kikafiri pia. Muisilamu kama muisilamu anaejitambuwa hawezi jiita jina la kiafrika/kikafiri eti kwa sababu ya utamaduni wa kiafrika na kuachana na majina ya imani yake 😁. Wakati kuna majina bora kuliko yote duniani kama vile MUHAMMAD, ABDALLAH, SALUM, SAID ABDULLATIF, ABDULQADIR, RAMADHAN, SHAABAN, RAJAB, SULEIMAN. Sasa mtu ajiite GONDWE, MAPUNDA, TATU, PILI, ISHENGOMA, RUGEMALILA, SHADRAKI, NGOLO, RUDIGER N.K, huu utakuwa wendawazimu.

 

Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.

Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.

Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.

Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.

Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?

Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.

Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.

Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.

Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Mkuu embu ongezea maneno hapo Rais Mkapa, naweza nikaondoka nakitu??
 
Majina ya mateja hayo, Mwamedi a.k.a Mudi, Addalla a.k.a Dulla, Ramadhani a.k.a Rama, Shabani a.k.a Shabby, Said a.k.a Side, Rajab a.k.a Roja.
Hayo ni majina ya laana, mateja, vibaka na majambazi ndio hayo majina ya majitu ya hovyo yaliyorundikana jela.

Ndiyomaana nikasema nafc ya mtu inamtuma kufanya hivyo na co dini.

Majina mazuri kama haya na yenye maana nzuri, ila baadhi yao wanayatumia vibaya. Mtu anajiita dulla badala ya ABDALLAH au shabby badala ya SHAABAN unategemea atakuwa na tabia njema! Labda wachache sana. So itabakia wao na nafc yao lakini msisingizie dini.
 
Zumaridi yeye si Mchungaji, yeye ni Mungu wa wafuasi wake. "Miujiza" yake anaifanya kwa huo umungu wake na wafuasi wake humuamini kwa hilo. Niseme tu wengi wa wakristo husadiki mapema hasa linapokuja suala la miujiza. Wajanja wa kutumia mazingaombwe hupata fursa ya kuwateka kwa kutumia jina la Yesu na kujenga makanisa ambayo hupewa majina yao. Shangaa mtu anakwambia siku hizi yeye "anaabudu" kwa Mchungaji fulani. Mzee mmoja katengeneza kikombe na misururu ya watu toka kila sehemu nchini ikamiminika kwenda kunywa hicho kikombe. Hakika waache wapigike hadi akili ziwarudi.
 
Back
Top Bottom