Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 3,380
- 5,906
Ni mapambo tuu ya mbinguNyota na mwezi maana yake nini?
Rejea aya ifuatayo
tupo pamoja bujibuji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mapambo tuu ya mbinguNyota na mwezi maana yake nini?
Hakuna anaekatwa kufanya chochote kuhusu imani yake,hata zumarid kaonewa juu ya Imani yake.Ni kutaka kuweka wazi juu ya upotoshi wa wengi kwamba mizimu ni mababu zetu waliokufa,dini za kuletewa hazisemi hivyo wala hata dini hizi za asili nazo ukataa kuhusu iliSawa..ila wewe wakifanya kinakuuma nini baki na imani yako ya kuletewa usiyejua utokako..upo upo tu mtumwa wa akili wewe.
#MaendeleoHayanaChama
Aliyekuambia zumaridi ni mkristu ni nani? Yeye hamtambui Yesu wala muhamed. Hatumii biblia wala Quran. Wateja wake ni ma murtad wa kiislam , kikristu na kipagani. Hata aliyesababisha hili sakata likafikia hapo ni mteja wake aliyekuwa mwislam alizama huko na mtoto wake ndio mahakama ikaamuru atolewe mtoto epelekwe shule
Sijajua ni kwanini Wakristo wamekuwa wakisadikishwa na kuaminishwa na wao haraka haraka huamini na mwishowa siku hujikuta wakiwa mateka wa kifikra.
Visa vingi sana tumeviona na tumevishuhudia vya watu kuuziwa kijifuko cha chumvi tu hii ya dukani kwa shilingi laki moja huku wakisadikishwa kuwa inaleta utajiri na kumfukuzia mbali pepo mchafu alitaye ufukara.
Tumeona watu wakisadikishwa kuwa ukipada mbegu utacuna lolote ulitakalo, mathalani, unataka kuwa Mkurugenzi wa bandari, au unataka kuwa daktari mkuu na wewe elimu yako ulikomea darasa la nne A, basi panda mbegu,inenee na wewe utavuna jambo ulitakalo.
Wakristo wameaminishwa kuwa kina St. John, St. Peters, St. Richard na wazungu wengine waliokufa zamani ndio wanaweza kutuombea.
Mizimu ya kizungu, wala haikujui je inawezaje kukuombea? Mizimu ambayo haina hata uhusiano na wewe?
Omba kupitia mizimu ya kwenu, achana na hao wahuni wa kimagharibi, wanachotaka kutoka kwako ni sadaka tu.
Wanahubiri upendo na hawana upendo, hata marehemu Benjamin Williams Mkapa alichana na upadre baada ya kuona huko kwenye mission kumejaa gjiriba, chuki , ubaguzi na upendo haukuwepo.
Mapadre wazungu walikuwa wakiwanyanyapaa na kuwaona mapadre weusi kama takataka halafu wakipanda madhanahuni wanajidai wanahubiri upendo.
Hizi dini zichunguzeni kwa kina, kisha zirekebiswe huenda zikawa bora kidogo
Wakristo wanaamini jua inaashiria NURU YA ULIMWENGU.
lakini uliniuliza nyota na mweziWakristo wanaamini jua inaashiria NURU YA ULIMWENGU.
Mt 5:14-16 SUV
Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya mlima. Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani. Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.
Nyota na crescent [emoji287] haiwezi kuwa mapambo tu, ni code.
Ndio nikasema haiwezi ikawa nembo isiyo na maanalakini uliniuliza nyota na mwezi
hpa naona unanitilia Jua
Nilikuwekea na aya ple ambayo inaonesha kazi yakeNdio nikasema haiwezi ikawa nembo isiyo na maana
Duh.... bora niendelee na upagani kuliko najiunga na dini ambayo siielewi hata alama yakeNilikuwekea na aya ple ambayo inaonesha kazi yake
Ukitaka kuujua Uislamu nambie nitakuelimisha usisikilize kelele za watuDuh.... bora niendelee na upagani kuliko najiunga na dini ambayo siielewi hata alama yake
Nilikuwekea na aya ple ambayo inaonesha kazi yake
Mbona hunielekezi hata maswali ninayokuuliza? Jibu ulilonipa lipo very irrelevantUkitaka kuujua Uislamu nambie nitakuelimisha usisikilize kelele za watu
Unaona neno mataa hapo hilo linamaanisha mwezi na nyota ambavyo vinaonekana na kumurika Usiku
Nimekufafanulia hapoMbona hunielekezi hata maswali ninayokuuliza? Jibu ulilonipa lipo very irrelevant
Basi sitajiunga maana ni dini isiyoelewekaNimekufafanulia hapo
Mimi sio nakung'ang'ania kukuelekeza Uislamu ila Uislamu ni dini iliyokamilika ambayo kila m.damu anatakiwa aifuateBasi sitajiunga maana ni dini isiyoeleweka
Umenena vyemaMimi sio nakung'ang'ania kukuelekeza Uislamu ila Uislamu ni dini iliyokamilika ambayo kila m.damu anatakiwa aifuate
Kazi yetu ni kufikisha hatumlazimishi mtu
Kuna kiongozi mmoja wa dini ya kiislam yupo huku zenji anaendesha kipindi kwenye radio cha kujibu maswali anaitwa musabaha alipoulizwa swali hilo eti akasema "hiyo ni Siri ya Mungu tuache kutaka kujua kila kitu"Mtu akifa shahidi atapewa wanawake BIKRA 72 wenye matiti yaliyosimama na macho ya duara.
Je mwanamke atapewa nini?