Hamornize na Nandy wamekosa VISA vya kuingia Marekani kwa ajili ya show,huku Diamond Platinumz afanikisha katika tamasha la oneafrica_music festival.

Haya sawa... Tupo humu utakuja kuona!! Ila jua tu Harmo na Mond hawaivi tena.
 
Haya sawa... Tupo humu utakuja kuona!! Ila jua tu Harmo na Mond hawaivi tena.
Wale ni sawa na mtoto na mama riki mama hata awe mwehu mtoto hawezi kumkimbia wala kumkana atabaki kuwa mama tu japo anaweza kuondoka kufanya maisha yake ila kwao kunabaki kuwa kwao.
.
Mfano mzuri Rihana Rock nation ni kwao huko aliko anatapa tapa tu ila ipo siku atarudi nyumbani
 
Kwahyo amuoe kwa sababu tuu ya kurahisisha kuingia USA?
 
Leo harmonize hana Visa mamaee... shikamoo Mondi!! Figisu zimeaza rasmi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Muwe mnaacha ushwahili wakati mwingine,Marekani sio Tanzania,Diamond hana jeuri ya kufanya figisu za viza kwenye ubalozi wa Marekani,nadhani wewe ndugu hujawahi hata kuomba viza,mwisho wako ni Matombo
 
Muwe mnaacha ushwahili wakati mwingine,Marekani sio Tanzania,Diamond hana jeuri ya kufanya figisu za viza kwenye ubalozi wa Marekani,nadhani wewe ndugu hujawahi hata kuomba viza,mwisho wako ni Matombo
Wewe figisu unayoina ni kwenda ubalozi tu[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Wewe figisu unayoina ni kwenda ubalozi tu[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Hakuna kitu kama hicho kwenye viza kaka anza lingine,anyway haina haja ya kutoleana mapovu hapa sababu unapokosa viza unapewa sababu za kunyimwa viza ni vizuri wahusika wakaeleza kuwa ni kwanini wamenyimwa viza badala ya kuleta tu bandiko la kukosa viza si ajabu labda wana pasipoti za kusomwa kwa mashine ambazo mwisho wake ni January mwakani na kwa hiyo hazitakidhi vigezo vya kuwa pasi iwe hai si chini ya miezi 6 huko ni kudhani kwangu tu.
 
Either wanatengeneza Kiki au kweli harmo kasepa WCB bhasi...!! Ila kusema hakuna kinachoendelea ni Uongoo Mpaka Harmo leo anazuiliwa Kuingia USA kisa hana Visa alafu wewe bado hushtuki tu...??? Harmo kaenda marekani mara ngapi???
Kwahiyo unataka kusema Diamond ana connection na Us embassy mpaka awe na uwezo wa kuzuia konde boy asipate visa?
 
Ajaribu mwaka ujao......mwaka huu kaenda kaka yake
 
Jembe ni jembe ni nani hapo WCB ?
 
kaangalie GUNDOSAKITRMX
 
Nandy amekosa kwasababu alipeleka akaunti yake ubalozini US EMBASSY na alipoulizwa milioni mia sita 600 mil amepataje akakosa maelezo, akapewa nafasi ya kukata rufaa alete vielelezo vya benki na TRA kwamba hilo pato kalipia kodi napo akakosa , ndio kanyimwa, na wamarekani hawatakaa wampe, maana hana maelezo ya fedha chafu ambapo kati ya hizo zipo alizo hongwa na mkuu fulani wa wilaya kule mkoani Kilimanjaro ambaye alikuwa anataka show kwa nguvu na akamvamia hotelini, japo jamaa hakuweza kumgonga, huyo DC mke wake ni mmassai, sasa anataka penzi la mjini mjini.

Harmoniser, yeye aliwahi kukutwa na bangi, na records zipo polisi, na ndio sababu kubwa, yeye akaunti yake ina dola laki mbili USD 22,000,000/- naa zote ameelezea kuwa ni za muziki na uzuri ametoa maelezo yaliyo nyooka sema wamshangaa fedha zote anaishi nazo Goba kwake, okay ubalozi ulienda mbali zaidi na kuhoji sababu za kukwepa benki akakosa jibu ila inasemekana fedha nyingi aliptankwenye kamisheni kwenye ile "ishu nyeusi" na pia aliwahi kuuza sembe wakati anaanza ila kwa sasa ameacha. Hana rekodi ya kulipa kodi na TIN yake TRA Mwenge haisomi kabisa, yaani machinga anayelipa 20000 kwa mwaka wakati huyu jombii halipi kitu .Hapa ndipo namwelewa mh Jiwe
 
Mkuu umejichanganya kwenye maelezo umesema akaunti yake ina dola laki 2 hapohapo unasema anaishi nazo kwake au mi ndo sijakulewa au sijui maana ya akaunti.
 
Mkuu dola laki 2 ni usd 200,000 sio 2,2000,000$ ulizoandika wewe
 
Chai.
 
Mkuu umejichanganya kwenye maelezo umesema akaunti yake ina dola laki 2 hapohapo unasema anaishi nazo kwake au mi ndo sijakulewa au sijui maana ya akaunti.
baadhi yupo nazo nyumbani na nyingine benki (EXIM)
 
Either wanatengeneza Kiki au kweli harmo kasepa WCB bhasi...!! Ila kusema hakuna kinachoendelea ni Uongoo Mpaka Harmo leo anazuiliwa Kuingia USA kisa hana Visa alafu wewe bado hushtuki tu...??? Harmo kaenda marekani mara ngapi???

Uelewa wako mdogo sana na mambo ya VISA haujui, ushabiki utakuu
Naomba nkuulize walio kataliwa iyo issue ni HARMO na NANDY so WCB wametia figisu mpk kwa nandy.

Afu unaposema mondi kamzingua Harmo kua anatamaa “ thibitisha kwa clip” au wapi mondi alisema.

Zaidi ya hapo acha porojo mtoto wa kiume utavalishwa dela
 
Naona imekuuma kusikia bwana ako harmo anatimuliwa WCB[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mondi kashamchana kuwa ana tamaa hutaki nenda insta katafute video sio kuja kunipigia kelele hapa... kujidai unajua sana process za Visa kumbe wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089] Harmo out WCB.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…