hakuna shaka na itabaki kuwa hivyo. baada ya Mwalimu Nyerere alietusaidia kuupata uhuru wa Tanganyika, Dr. John Joseph Pombe Magufuli anabaki kuwa Rais bora wa wakati wote.
kizuri hakikosi kasoro. agenda yake ya kutaka kufuta upinzani haikuwa nzuri na hilo nilimpinga waziwazi kwa kumnyima kura mara zote alizogombea.
na kuhusu kuweka mbele maslahi ya nchi ikiwa ni pamoja na kulinda rasilimali za nchi, kudhibiti uonevu na rushwa. kutokujipendekeza kwa wazungu. upatikanaji wa uhakika wa maji na umeme. hapa anabaki bora na hana mfano wake.
Mama nae anaupiga-piga. shida ni kuwa nyuma yake kuna genge la wabinafsi ambao hawaoni aibu kula rushwa inapotokea kufanya hivyo. kwa hili ajitafakari.
kuhusu uhuru wa habari naiona nuru. hamu ya kutaka kujuwa kinachojiri nchini sasa inanirejea. nanunua hata magazeti sasa.
Peoples! ✌️
kizuri hakikosi kasoro. agenda yake ya kutaka kufuta upinzani haikuwa nzuri na hilo nilimpinga waziwazi kwa kumnyima kura mara zote alizogombea.
na kuhusu kuweka mbele maslahi ya nchi ikiwa ni pamoja na kulinda rasilimali za nchi, kudhibiti uonevu na rushwa. kutokujipendekeza kwa wazungu. upatikanaji wa uhakika wa maji na umeme. hapa anabaki bora na hana mfano wake.
Mama nae anaupiga-piga. shida ni kuwa nyuma yake kuna genge la wabinafsi ambao hawaoni aibu kula rushwa inapotokea kufanya hivyo. kwa hili ajitafakari.
kuhusu uhuru wa habari naiona nuru. hamu ya kutaka kujuwa kinachojiri nchini sasa inanirejea. nanunua hata magazeti sasa.
Peoples! ✌️