Cha msingi alikipata alichokitafuta, na waliomdanganya ataenda kula uroda wa mahururain 72 , walimwingiza chakike badala ya kuufahidi uroda FUNZA NDIO ZIMEMGEUZA URODA kwa kutafuna na kuingia kila sehemu ya mwili wakeNdio alipopigwa risasi huku amelala barabani alikuwa hana silaha!!
RIP HamzaMungu mbariki Hamza
Wenzako wa mtwata wanajilia mahakama uchunguzi ukamilike mapema.kama yeye alupiga risasi wengine kwanini yeye asipigwe risasi?
kwanza huyo alifaa apigwe bomu
Siku yakikuta ya yule mfanyabiashara wa mtwara ndipo mtajifunza kutumia akili.Mtoa mada huyo alikuwa bosi wako nini maana mnateteana magaidi.
Hamza alikua mwanaccm.Chadema mna taabu sana
Hivi huyu Mwamba ile mbegu aliyoipanda haijakomaa bado???Hivi huyu mwamba polisi waliuchunguza Nini mwili wake ?
Bado haijakoma. Lkn iko haiHivi huyu Mwamba ile mbegu aliyoipanda haijakomaa bado???
haikufanyiwa kazi sababu alimtaja allah kati kati,akaharibu message nzima.Meseji yake ilifika japo haikufanyiwa kazi. Nachukia polisi
Anahusikaje na CHADEMA?Chadema mna taabu sana
umevimbiwa maharage au ni infinix tatizo.Angalia ile clip; Hamza alitoka kwenye kile kibanda bila silaha kwenda kujitupa barabarani ndio wakampiga risasi!
elezea hamza alijisalimishaje???Polisi wetu hawana weledi, hawakuwa na sababu ya kumuua mtu aliyejisalimisha!! Walitakiwa wamchukue na kumuhoji na hapo wangejua mengi kuhusu motive yake ilikuwa nini?
kawaulize ndugu zake acha porojo mkuu.Polisi hawana hamu na huyu mwamba. Ndiyo maana hawakuwahi kuchunguza
Darajs la Busisi kazi inaendelea
Umekunya leo?elezea hamza alijisalimishaje???
hamza amekufa anarusha risasi unasema alijisalimisha,ni kichaa kinakupelekesha.
Busisi kazi inaendeleaPolisi hawana hamu na huyu mwamba. Ndiyo maana hawakuwahi kuchunguza
π°ππππππ ππππππ ππππ ππππππ πππππ πππππππππ ππππ π¨ππππππππ πππππ π―ππππ.Cha msingi alikipata alichokitafuta, na waliomdanganya ataenda kula uroda wa mahururain 72 , walimwingiza chakike badala ya kuufahidi uroda FUNZA NDIO ZIMEMGEUZA URODA kwa kutafuna na kuingia kila sehemu ya mwili wake
Mungu mbariki Hamz