Hamza Bendelladj "the smilling hacker"

Sisi huku huwa tunasubiri gunduzi zifanyike tutengenezewe tuje tutumie. Kazi yetu kubwa kufungua screw, bolts na nuts na kuchomelea. Hakuna tafuti zenye mashiko. Nilikuwa na mtaalamu mmoja wa Diesel engines toka U.S.A akinielezea tafiti zinazoendelea kupunguza emmisions ya NOx unapata picha tu huku hatutoboi.
 
Huyo yuko sawa sema tu ubongo wake uko very busy kiasi kwamba kwenda kuoga kwake ni westage of time.
 
a
africa yetu
 
Huyo yuko sawa sema tu ubongo wake uko very busy kiasi kwamba kwenda kuoga kwake ni westage of time.
Naskia hata Isack Newton hakuwah kufanya tendo la ndoa, Aristotle naye alikuwa anatembea bila viatu , mi nahs huwa kuna vitu vinapungua ili kujalizia pengine , thus why kuna sehemu wanafanya mambo ambayo mtu wa kawaida hawezi
 
Kuna mwanasayansi mwingine anaitwa Peter Cavendish ni mtaalamu aligundua gravitational constant,G.
Katika umri wake wote hajawahi kumjua mwanamke na watu walikuwa hawamjui kitaani kwake
Naskia hata Isack Newton hakuwah kufanya tendo la ndoa, Aristotle naye alikuwa anatembea bila viatu , mi nahs huwa kuna vitu vinapungua ili kujalizia pengine , thus why kuna sehemu wanafanya mambo ambayo mtu wa kawaida hawezi
 
Watu wema hawatakiwi duniani....dunia inataka watu kama Trump.
 
hahaha mkuu umetisha sanaa, huwa pia wanasema watu welaiokua vizuri darasani hawafanyi vizuri sana kwenye maisha kiuchumi...ila sina fact sanaa
 
Hamza hakunyongwa hizi picha ni photoshoped, hakuna sheria ya kunyonga wadukuaji. Alifungwa tu na baadae kesi yake ikawa siri. Kwanza Marekani hawanyongi hadharani kwa kuwapiga watu vitanzi kama Iran wakaning'iniza kwenye crane.
 
Hamza hakunyongwa hizi picha ni photoshoped, hakuna sheria ya kunyonga wadukuaji. Alifungwa tu na baadae kesi yake ikawa siri. Kwanza Marekani hawanyongi hadharani kwa kuwapiga watu vitanzi kama Iran wakaning'iniza kwenye crane.
🤔🤔🤔
 
Ma genius wote lazima ukute ana disorder, sijui ndo husababisha kuwa na akili zaidi ya normal na maisha yao huwa ni ya ajabu ajabu sana hasa wa Tanzania mfano, Dr luis shika kid
 
Yuko vizuri
 
[emoji38][emoji38]
 
Hamza Bendelladj - Smiling Hacker

Alikuwa kwenye orodha ya wadukuzi 10 bora wanaosakwa zaidi na Interpol na FBI.

Huenda hata wewe alishakuibia hela bila kujua [emoji23]

Mwaka 2010 huyu jamaa alifanya kitu ambacho hakijawahi kufanywa na mtu yoyote.

Mwaka 2010 pale New York, USA Hamza alikuwa akiishi na Mama yake, maisha hayakuwa poa sana, Hamza alikutana na rafiki yake Aleksandr Andreivich, wakaamua kupanga tukio ili wapate pesa

Ooh yes tukio likatiki, waliweza ku-hack Banks 217 na jumla ya 60 million bank accounts.

Banks 217 kutoka nchi tofauti tofauti duniani, chukulia Bank Accounts Million 60 [emoji848]

Ndani ya miezi kadhaa walipata $4 Billion, (Badili kwenda Tzs [emoji41]) chakushangaza hawa jamaa walitoa zaidi ya dola milioni 280 kwa mashirika ya misaada barani Afrika na Palestina.

Hamza alizaliwa Mwaka 1988 huko Algeria-Africa na alikulia Africa ila baadae wakahamia USA, rafiki yake Aleksandr ni raia wa Russia.

WALITUMIA NINI KUIBA

Ooh hawa jamaa walikuwa ni Computer Programmers walikubaliana kutengeneza Software inaitwa "SpyEYE"

SpyEye ni Malware Software Botnet, kwa lugha rahisi ni VIRUS ambayo inaiba taarifa zote za kibenki (Password, user ID codes), na kufanya miamala kutoka Account moja kwenda nyingine

Baada ya kufanya wizi huo waliuza hiyo SpyEye Program kwa Hackers wengine huko US.

Baada ya miaka 3 ya msako wa FBI na Interpol, mwaka 2013 Hamza alikamatwa huko Thailand airport na aliitwa Smilling hacker kutokana na Tabasamu lake kwenye kila picha aliyopigwa baada ya kukamatwa

Alihukumiwa kifungo cha Miaka 15 jela kwa wizi wa $4Billion

KIKUBWA UHAI [emoji851][emoji851]

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…