Hamza Kibwana Mwapachu akili kubwa

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
AKILI KUBWA: KIBWANA HAMZA MWAPACHU (1913 - 1962) KATIKA KUUNDA TANU
Katika kitabu cha Abdul Sykes nimemtaja Hamza Mwapachu mara 42.

Katika kitabu cha historia ya Julius Nyerere kilichaondikwa na Prof. Shivji na waandishi wengine Hamza Mwapachu katajwa mara 9.

 
Hivi vitabu nitavipata wapi
Rommy...
Kitabu cha Abdul Sykes kipo Ibn Hazm Bookshop Msikiti wa Mtoro na Msikiti wa Manyema jirani hapo Mtaa wa Livingstone na Mahiwa na Mtaa wa Mafia na Lumumba Avenue.

Kitabu cha Nyerere Tanzania Publishing House Samora Avenue hivyo vingine havipatikani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…