Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Wanajamvi
Kama mtakumbuka niliweka sauti ya Mohamed Said akizungumza na Radio
Niliwaomba musikilize kwa umakini sana maana kuna mambo ya upotoshaji
ni hii https://soundcloud.com/mwinyimadi/sheikh-hassan-bin-amir-nur-fm
Sikiliza dakika 51-53 , ambapo Mohamed Said anamwambia Mtanganzaji kuwa kabala ya mwaka 1952 hakuna kiongozi wa TAA aliyemjua Mwalimu Nyerere
Hili si mara maoja, katika majadiliano haya Mohmaed amethibitisha kuwa Nyerere alianza siasa baada ya kupokelewa na Abdul Mwaka 1952.
Na mara zote amesema Nyerere aliingia Dar katika siasa mwaka 1952
Tumekuwa tunauliza sana kuhusu ushiriki wa Nyerere kama katibu wa tawi Tabora na kuhudhuria mkutano mkuu mwaka 1948. Tulisema haiwezekani katibu wa tawi kubwa Tabora asiwe Introduced kwa viongozi wa HQ.
Sasa naomba musikilize video hiyo katika dakika 51-54 halafu musome maneno ya Juma Mwapachu hapo chini yaliyoletwa na Mohamed Said mwenyewe
Hili ni tofauti kabisa na habari za Mohamed Said kuwa aliyemleta Nyerere mzobe mzobe ni Kasela Bantu na kumu introduce kwa Abdul Sykes na kwamba kabla ya hapo hakuna aliyewahi kumsikia au kumjua Nyerere! Fallacy ! Urongo mkubwa.
Kama huu si urongo Mohamed Said aje akanushe maneno ya Juma Mwapachu aliyoyaleta mwenyewe .
Hivyo tuna ushahidi mwingine kuwa TAA HQ walijua habari za Nyerere na si kuwa mtu wa kwanza alikuwa Abdul Sykes
Hapa unawezaona Mohamed alivyojitahidi kuficha sifa za Nyerere kwa gharama ya Abdul.
Haelezi ushiriki wa Nyerere kuanzia miaka ya nyuma, anachokifanya ni kumfanya Nyerere ni parasite aliyedondoka tu na kuwa kiongozi i.e ad hominem !
Mnaweza kuona jinsi gani sisi vichekesho tunasoma between the lines na kugundua makosa.
Kwa maneno mengine , si kuwa Mohamed hajui ukweli kuhusu Nyerere, anachotaka ni kumdhalilisha kwanza kwa gharama ya Abdul Sykes.
Hapa tunasema hapana si kweli na ushahidi ni huo hapo juu
Utashangaa Mohamed atakuja hapa na hadithi na picha, anachotakiwa ni kuomba radhi kwa kusema redion Nyerere hakuwahi kusika HQ kabla ya 1952 au akanushe maandiko ya Juma Mwapachu kuwa Hamza haku mu introduce Nyerere HQ
Kama mtakumbuka niliweka sauti ya Mohamed Said akizungumza na Radio
Niliwaomba musikilize kwa umakini sana maana kuna mambo ya upotoshaji
ni hii https://soundcloud.com/mwinyimadi/sheikh-hassan-bin-amir-nur-fm
Sikiliza dakika 51-53 , ambapo Mohamed Said anamwambia Mtanganzaji kuwa kabala ya mwaka 1952 hakuna kiongozi wa TAA aliyemjua Mwalimu Nyerere
Hili si mara maoja, katika majadiliano haya Mohmaed amethibitisha kuwa Nyerere alianza siasa baada ya kupokelewa na Abdul Mwaka 1952.
Na mara zote amesema Nyerere aliingia Dar katika siasa mwaka 1952
Tumekuwa tunauliza sana kuhusu ushiriki wa Nyerere kama katibu wa tawi Tabora na kuhudhuria mkutano mkuu mwaka 1948. Tulisema haiwezekani katibu wa tawi kubwa Tabora asiwe Introduced kwa viongozi wa HQ.
Sasa naomba musikilize video hiyo katika dakika 51-54 halafu musome maneno ya Juma Mwapachu hapo chini yaliyoletwa na Mohamed Said mwenyewe
Msikilize Juma Mwapachu , anasema wazi kuwa Hamza Mwapachu ndiye aliyemtambulisha Nyerere kwa uongozi wa TAA makao makuu kabla ya kuondoka kwenda Edinburgh kwa masomo"Mohamed Said, post: 16572612, member: 12431"]Wanamajlis,
Nakupeni na hii zawadi kutoka kwa Juma Mwapachu:
For example, did you know that Abdul Sykes and the name you read in this Mtemvu story, Ali Mwinyi Tambwe went to Ukerewe Island where Hamza Mwapachu was 'exiled' by Governor Twining in March 1953 to discuss the candidacy of Julius Nyerere as new President of Tanganyika African Association as a prelude to the re-constitution of TAA into TANU in July 1954?
I still recall the visit vividly. I was a standard three pupil then and together with my brother Bakari had to sleep in the sitting room leaving our bedroom to the two guests.
Abdul Sykes was then President of TAA and the TAA leadership plus Dar-based political activists who were predominantly Moslems wanted Abdul Sykes to retain the Presidency.
Abdul was eager to secure Hamza's position on the matter given the fact that it was Hamza who introduced Nyerere to the TAA leadership in Dar back in 1949 before Nyerere left for Edinburgh University.
Since 1945 Hamza was firmly committed to the view that Nyerere was the best person to lead Tanganyika to independence.
For two reasons: First, he knew Nyerere as a very close friend from Makerere between 1943 and 1945 and was seized of his intellectual capacity.
Second, because after his two years stint in Wales as a mature student at the University of South Wales, Cardiff, and coming close to Fabian Society British friends, Hamza was of the firm belief that the Colonialists would be more amiable to dealing with a Christian leader than a Muslim one.
Abdul agreed with Hamza and whilst he had to stand in opposition to Nyerere because of Party electoral rules, he voted for Nyerere to be President of TAA in July 1953.
So here is another piece of history that some of you are unaware of.''
JV.
Hili ni tofauti kabisa na habari za Mohamed Said kuwa aliyemleta Nyerere mzobe mzobe ni Kasela Bantu na kumu introduce kwa Abdul Sykes na kwamba kabla ya hapo hakuna aliyewahi kumsikia au kumjua Nyerere! Fallacy ! Urongo mkubwa.
Kama huu si urongo Mohamed Said aje akanushe maneno ya Juma Mwapachu aliyoyaleta mwenyewe .
Hivyo tuna ushahidi mwingine kuwa TAA HQ walijua habari za Nyerere na si kuwa mtu wa kwanza alikuwa Abdul Sykes
Hapa unawezaona Mohamed alivyojitahidi kuficha sifa za Nyerere kwa gharama ya Abdul.
Haelezi ushiriki wa Nyerere kuanzia miaka ya nyuma, anachokifanya ni kumfanya Nyerere ni parasite aliyedondoka tu na kuwa kiongozi i.e ad hominem !
Mnaweza kuona jinsi gani sisi vichekesho tunasoma between the lines na kugundua makosa.
Kwa maneno mengine , si kuwa Mohamed hajui ukweli kuhusu Nyerere, anachotaka ni kumdhalilisha kwanza kwa gharama ya Abdul Sykes.
Hapa tunasema hapana si kweli na ushahidi ni huo hapo juu
Utashangaa Mohamed atakuja hapa na hadithi na picha, anachotakiwa ni kuomba radhi kwa kusema redion Nyerere hakuwahi kusika HQ kabla ya 1952 au akanushe maandiko ya Juma Mwapachu kuwa Hamza haku mu introduce Nyerere HQ