Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya

Hamza Mwapachu, Abdulwahid Sykes na Chief Michael Lukumbuzya

N sifa nyingine ya mnafiki ni kukcheka aikuchukia. Kusifu akikung'ong'a

Huwezi kumtukana Nyerere ukasema unamheshimu !
Huwezi kuwatukana wazanzibar ukajificha nyuma ya Uislam

Vyovyote iwavyo, Nyerere ni smart. Unawajua wajumbe wa LEGCO?

Historia ya TANU kujulikana ni jambo jema kabisa.
Hata hivyo, historia haiwezi kubadilishwa kama ilivyokuwa.

Nyerere alibadilisha mtazamo wa siasa za Tanganyika.

Aliongoza mapambano dhidi ya mkoloni, alipewa uhuru wa nchi hii na mwingereza uwanja wa Taifa. Aliongoza kwa miaka 20
Kuanzia ujana wake alionekana smart,Makerere, Tabora hadi Edinburgh etc

Umahiri wake ulivuka mipaka na kuwagusa watu wengine

Nyerere alikuwa mwenyekiti wa front-line states kupinga ubaguzi na uonevu

Alikuwa kiongozi wa AU na statesman wa Afrika.

Huko UN wanamtambua kwa weledi na misimamo yake thabiti

Nyerere alikuwa miongoni mwa viongozi 6 waliounda kamati ya 'disarmament'

Na alikuwa mjumbe wa South-south commission

Kila siku anatajwa katika jamii na ni reference ya uongozi na viongozi

Anajulikana kila kona ya nchi hii licha ya kuwa kaburini miaka zaidi ya 10
Anajulikana Afrika na duniani kwa heshima zake, si kupakwa mafuta ya lazima

Pazia lake halifungwi kwa historia ya mtu mwingine. Na hakuna anayewekwa katika mizani ya siasa za nchi hii katika miaka ya 1900 na Nyerere.Hakuna

Pazia la Nyerere halifungwi na maandishi ya kinafiki! Umma umetambua sasa

Nyerere alikuja, akawaelimisha, akawaongoza!
Akabadili siasa za masoko na chini ya miembe kuwa za kisasa.

Aliandika katiba ya kwanza ya siasa!

Hakuna mwingine aliyewahii kuandika katiba ya chama cha siasa! Hakuna

Ukimlinganisha Nyerere na Abdul unamtafutia dhalili!
Abdul halingani na Nyerere! Nitty gritty

Ni kidonge kichungu huna budi kukimeza
Kaka Nguruvi3 mimi ninajifunza kwenye barza hii. Kwa wasaa wako, ninaomba utuwekee hapa mchakato aliopitia Mwl. Nyerere katika kuandika katiba ya kwanza "ya kiuweledi" ya Chama cha siasa ili nijifunze zaidi. Ahsante.

Ahsante

Kaka.
 
Khalidoun,
Haijapata kutokea mnakasha kama ule katika JF.

Hivi ndivyo nilivyofahamishwa na wenyeji walioipokea
barzani.
Wanamajlis,
Naona ukumbi umepoa.
Yuko aliyesema ana maswali kuhusu Nyerere anataka kuniuliza.

Kapotea sijamsikia.

Yuko aliyekuja na mpya kuwa Waislam sio walioanza harakati dhidi
ya ukoloni akataja Maji Maji.

Nikaweka jibu.

Hakuridhika akadai kuwa majibu nimejinukuu mwenyewe kwa hiyo
ni ajua.

Nikaja na jibu kutola nyaraka za Wajerumani wenyewe waliopigana
na Chief Abdul Rauf bin Songea.

Najua kapata mshtuko kwa kuwa hajapatapo kumsikia Chief Abdul
Rauf bin Songea
katika Vita Vya Maji Maji ingawa inawezekana kuwa
kasikia Chief Songea Mbano.

Najua ametatazika kama wengi wanavyotatazika hivi sasa wakinisoma.
Hawa ni watu wawili au ni mtu mmoja?

Abdul Rauf bin Songea ndiyo huyu Songea Mbano?
Kuchakachua historia kuna hatari zake na hii ni mojawapo.

Hakuwa anajua kuwa Vita Vya Maji Maji Waislam walisimama dhidi ya
Wajerumani.

Majemadari 60 Waislam walinyongwa na kuzikwa kaburi moja Mahenge,
Songea na kumbukumbu ya iko hapo kwenye kumbukumbu ya Maji Maji
Songea.

Katika kaburi la peke yake amezikwa Songea Mbano.
Je huyu ndiye yule Abdul Rauf bin Songea?
 
Wanaukumbi.

Naona ukumbi upo kimya au watu wanakusanya data.

Hili la Katiba ya TANU waandishi wengi wanasema imetokana na Katiba ya CCP.

Msomeni kiduchu Joseph Mihangwa, hapa chini.

Tanu Constitution News & Blogs.

Wapo na wengine wamelisema hili.
 
Wanaukumbi.

Naona ukumbi upo kimya au watu wanakusanya data.

Hili la Katiba ya TANU waandishi wengi wanasema imetokana na Katiba ya CCP.

Msomeni kiduchu Joseph Mihangwa, hapa chini.

Tanu Constitution News & Blogs.

Wapo na wengine wamelisema hili.
Ritz,
Ahsante sana.
Kipande nimekikata huko:

''Throughout his political life, the organization of the Party was at the top of Mwalimu’s personal agenda, beginning with the drafting of the original TANU Constitution (based on CCP in Ghana, extracted from George Padmore’s Ghana Revolution), his resignation as Prime Minister soon after independence to re-organize the TANU, and finally the formation of the Chama cha Mapinduzi (CCM) to accommodate the politics of the Union with the island of Zanzibar, for which he remained Chairman for a couple of years after retiring as President.''
 
Ritz,
Ahsante sana.
Kipande nimekikata huko:

''Throughout his political life, the organization of the Party was at the top of Mwalimu’s personal agenda, beginning with the drafting of the original TANU Constitution (based on CCP in Ghana, extracted from George Padmore’s Ghana Revolution), his resignation as Prime Minister soon after independence to re-organize the TANU, and finally the formation of the Chama cha Mapinduzi (CCM) to accommodate the politics of the Union with the island of Zanzibar, for which he remained Chairman for a couple of years after retiring as President.''
Mudeer Mohamed Said.

Hii hapa habari ingine zipo nyingi.

UNIVERSITY OF IRINGA-FACULTY OF LAW BLOG: September 2013
 
Lugha za stara kama zile unazotumia wewe? Si ndiyo maana yake?

Naona juu huko ulianza kuomba poo na kuleta porojo eti za Alama Mohamed Said kuita watu!

Mimi nnakuitia hapa Mag3, Mzee Mwanakijiji, anaejiita Yericko Nyerere, Pasco and the likes, mkusanyane wote, mjadili hii historia na Alama Mohamed Said pekee, pia hamumuwezi hata chembe. Sana sana mtaanza lugha chafu tu.

Chambilecho, humu kwani tunapewa ilmu bila hiyana na nani mwengine zaidi ya Alama Mohamed Said?

Sisi tunafyonza ilmu tu, tofauti kubwa ni kuwa hao wanaotajwa ni wazee wetu tunaowajua amma wao amma watoto zao amma wajukuu zao.

Tunasoma na kupata ilmu na entertainment hususan pale unapokuja na maswali ya kebehi, huwa tunasubiri kwa hamu unavyofundwa bila khiyana na Alama Mohamed Said.
Nimeingia humu kidogo tu baada ya kuona nimekuwa tagged na mtu anayejiita FaizaFoxy. Natoa ombi kwako FaizaFoxy, tafadhali usinitag tena kwa hoja yoyote inayohusiana na ngano za Mohamed Said. Sijui umepata wapi ujasiri wa kunitag na hali unajua msimamo wangu huo kuhusiana na hizo hadithi zake, nitake radhi tafadhali! Watag malimbukeni wanaofyonza tu bila kuhoji.
 
2016-06-22-00-27-33-1324993361.jpeg


Father of African liberation'George Padmore.

Ukitaka kufahamu zaidi Katiba ya TANU ilitoka wapi pitia hii link hapa chini aliondika hicho kitabu hana uhusiano wowote na Mudeer Mohamed Said. Kitabu kinauzwa Amazon unaweza kukinunua.

Serving the Common Good
 
Nimeingia humu kidogo tu baada ya kuona nimekuwa tagged na mtu anayejiita FaizaFoxy. Natoa ombi kwako FaizaFoxy, tafadhali usinitag tena kwa hoja yoyote inayohusiana na ngano za Mohamed Said. Sijui umepata wapi ujasiri wa kunitag na hali unajua msimamo wangu huo kuhusiana na hizo hadithi zake, nitake radhi tafadhali! Watag malimbukeni wanaofyonza tu bila kuhoji.
Mag3,
Mimi nisingekujibu kama usingenitaja.
Umeweka CCM kama utambulisho wako.

Mimi nitaanza na hapo.
CCM inatokana na TANU na TANU inatokana na TAA.

TAA ilikuwa African Association hadi 1948 ilipobadilisha jina na kuwa TAA.
Kleist Sykes ni muasisi wa AA na alikuwa si tu kiongozi akiwa katibu bali
alikuwa mfadhili mkubwa.

Mwanae Kleist, Abdulwahid alikuja na yeye kama baba yake kuwa kiongozi
wa TAA akiwa katibu (1950), katibu na kaimu raisi 1951 - 1952 kisha akawa
kaimu rais 1953 Nyerere akiwa rais.

Kama baba yake, Abdul alikuwa kiongozi na mfadhili wa TAA na TANU.
Lakini kubwa Abdul akaja kuwa mmoja katika wazalendo 17 walioasisi
TANU 1954.

8jKk6xiFtefW3grKr3QMi9qmFfX_TrVV_Dt-BBKmLfjusKDjS7li2PldQRheXl3MAGyDtHH3M3_eExXPD9vr4acuWHIcmF3UdmaSQYmM51b3SFidwjy0Y1mF_hCzWjJtqn2AP5zULfTQYGnteacseube_ef3BN_oJxDD6Z2nePFh7ZxiO1w2nJkpdfTCyLyQHoTLuIwPp-J0834McLhK3igLQ6wjm2E75wum9SfB3vRijgApUdo0JgesKDCqWycxNGAId928FIxgBtbgh7ihPsrotB8jmrECTBVOgfKGxru_0Gw53tyxL5kSIA6PmwfzT6x0wdl-slvS0kiP8f8JdRvaB4ok16mrI2mbibbfhxfmO9MGcnUsPIQFeB756LYbpqYV_cOSn-H2xhVrowwM1Il3gkp5UJJ5bBFrlr8u7HKNzdwEYzEM_NMye8buRzIWUOLhYhVsE8F4JabQRQmw0IVraZ4iPPkx6XLCZJClBwy3qojfBU_VB1XE6IMB3x44U0mv5q81I6veWmsaVkB3_Dr_tRrBeMRvmN-tQmM4odlZwLtWrCACME3Dbr3Hjv43RZ1-9diy10yszG8WYvJ-ecI69iWGSQmm=w876-h657-no

Abdulwahid Sykes ni huyo wa nne kulia aiyevaa miwani ya jua

Si haya tu hata hiyo nyumba ambayo leo ndipo yalipo makao ya CCM Dar es
Salaam alijenga Kleist Sykes na Abdul akifuatana na baba yake siku za
Jumapili wakati huo mtoto mdogo wa miaka mitano alishuhudia ujenzi wa
nyumba hiyo.

Nyumba yenyewe ndiyo hiyo hapo chini katika sherehe ya kufungua ofisi
ya AA mwaka wa 1933:

2016%2B-%2B1


Huu si uongo si hadithi wala si ngano.

Huu ni ukweli ambao kwa bahati mbaya unawachoma roho wengi kwa kuona
mbona haikuwa sisi tuliofanya haya?

Ikiwa wewe au yeyote yule wa mfano wako ana taarifa nje ya hiyo hapo juu
na aje barzani tujadili.

Sioni kosa gani Maalim Faiza kafanya kwa kukutag kwani sote tukijadiliana
hapa kuhusu historia ya nchi yetu kimezidi nini leo hata wewe kuhamaki?

Hakika mila yenu moja.
Unajinasibisha na CCM unawachukia waliounda TANU?!

3-rjJEmaZOPQdkW-wVg75pQnMmRzHFy1njQ3gymG47NNg7CfX3DejX_Eqv5NOcVBXIC0Lzh4rCwahBv7TUNR-r9rkRbDzWRypTTKHZNWQ8uo-Babq6xCo1a9woATFZilI05MzGv8uS4Ki27c7Z-mxAohMVqwEdPzG3cbm0h_rzkYc6mM90duTZ8ZZ6OmMbRg5uyS7Hg_ybM5fNurpkaCF5CJExEgojYNs_NGtvf5AZFPJ5szV3QoWXHFGKqwNit0houpVcYCdY4CYXk5ZN57cQjBvuA-ZI1IxY3TzGXTS7GIhImGkY8ogBhk073Cu7lresTLVfJUMLdoR5z0aQv8wyqd8NKHFzYn6vPSI-mfP9RkLIyfVFXY7Jr7B---oairPwn4PoKtbYF7GlmkJRGD8IH_wbbkqSoDBmLyRFROqH80lHDBlopueGjvDftC-qJxm9pJxHm7LVXLSb1vvyg2jzsJnbCyOxTmVPVH53gwhFe_EGnEfdlcJZP-nbR_mtYxvwSDJ06kLvEDN7NomM0x0NmaVku8K1_GJXqCci-jChhDtPsrKQLFCTZo0lcBIIVUgXz3WAAgR7TDA7-z_hxBdqR_vDnVFvpl=w876-h657-no

Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Avenue

Ajabu ya Rahman.
Shonde huishia tahayuri.
 
Nimeingia humu kidogo tu baada ya kuona nimekuwa tagged na mtu anayejiita FaizaFoxy. Natoa ombi kwako FaizaFoxy, tafadhali usinitag tena kwa hoja yoyote inayohusiana na ngano za Mohamed Said. Sijui umepata wapi ujasiri wa kunitag na hali unajua msimamo wangu huo kuhusiana na hizo hadithi zake, nitake radhi tafadhali! Watag malimbukeni wanaofyonza tu bila kuhoji.

Naam nimekutag hususan baada ya kuona Nguruvi3 anaomba poo kiaina yake. Si wewe uliyekuwemo katika ahadi ya kuandika kitabu kupinga historia aliyotuletea Alama Mohamed Said? Au umeisahau ile kolabo yenu? Au umekushuka na hauna pa kuanzia?

Mbona ulikimbilia kujibu kwenye ule uzi aliouanzisha anaejiita Yericko Nyerere eti kumjibu Mohamed Said, umesahau?

Nimekutag na umekuja kujitoa kimasomaso na nnauhakika unafyonza humu kimya kimya, ukikataa nta snap historia ya nyuzi unazopitia humu ujionee mwenyewe unavyopita kimya kimya humu kwa aibu ya kushindwa kutimiza ahadi yenu.

Jee, ulimsikia mtu aitwae Abdul Rauf Songea kabla ya kumsoma kwa Alama Mohamed Said?
 
Naam nimekutag hususan baada ya kuona Nguruvi3 anaomba poo kiaina yake. Si wewe uliyekuwemo katika ahadi ya kuandika kitabu kupinga historia aliyotuletea Alama Mohamed Said? Au umeisahau ile kolabo yenu? Au umekushuka na hauna pa kuanzia?

Mbona ulikimbilia kujibu kwenye ule uzi aliouanzisha anaejiita Yericko Nyerere eti kumjibu Mohamed Said, umesahau?

Nimekutag na umekuja kujitoa kimasomaso na nnauhakika unafyonza humu kimya kimya, ukikataa nta snap historia ya nyuzi unazopitia humu ujionee mwenyewe unavyopita kimya kimya humu kwa aibu ya kushindwa kutimiza ahadi yenu.

Jee, ulimsikia mtu aitwae Abdul Rauf Songea kabla ya kumsoma kwa Alama Mohamed Said?
Naam nimekutag hususan baada ya kuona Nguruvi3 anaomba poo kiaina yake. Si wewe uliyekuwemo katika ahadi ya kuandika kitabu kupinga historia aliyotuletea Alama Mohamed Said? Au umeisahau ile kolabo yenu? Au umekushuka na hauna pa kuanzia?

Mbona ulikimbilia kujibu kwenye ule uzi aliouanzisha anaejiita Yericko Nyerere eti kumjibu Mohamed Said, umesahau?

Nimekutag na umekuja kujitoa kimasomaso na nnauhakika unafyonza humu kimya kimya, ukikataa nta snap historia ya nyuzi unazopitia humu ujionee mwenyewe unavyopita kimya kimya humu kwa aibu ya kushindwa kutimiza ahadi yenu.

Jee, ulimsikia mtu aitwae Abdul Rauf Songea kabla ya kumsoma kwa Alama Mohamed Said?
Maalim Faiza,
Nimejifunza mengi kwa watu hawa hapa barzani kiasi sishangai
kuwa juu ya hisani kubwa alofanya Abdul Sykes kwa nchi hii
wamekuwa na ujasiri wa kumfanyia husda kufikia kukataa asitajwe
popote.

Magazeti ya TANU Nationalist na Uhuru na chama alichokiasisi kwa
juhudi zake kinapokea maelekezo wasiandike hata taazia yake pale
alipofariki mwaka wa 1968.

Likatolewa gazeti zima la Africa Events mwaka wa 1988 kwenye
mzunguko kwa kuwa tu ndani zimeelezwa habari za Abdul.

Hakika Allah amesema kweli wanayoficha vifuani mwao ni makubwa.
Ati mimi naandika ngano naandika fitna kugombanisha watu.

Mimi wa kuja hapa kufanya maskhara?
Hata hapo ujanani sikuwa mtu wa maskhara.

Niko hapa kuitumikia nchi yangu na kuwaeleza watu tulikotoka na
hatari inayotunyemelea.

Nimekuja hapa na kila aina ya ushahidi muwajue wazee wetu na
mtujue sisi ili tuheshimiane.

Ijaza yangu ni kejeli na matusi.

Wamekuja Dar es Salaam hawana mpango wowote wa chama wala
mpango wa kuikomboa Tanganyika kutoka mikono ya Waingereza.

Wazee wetu walikuwa na mpango uliokamilika na kubwa kuwaleta
watu wote kwenye umoja bila kubaguliwa mtu.

Sheikh Hassan bin Amir kaifanya kazi hii kwa ufanisi mkubwa
akiwaongoza masheikh wa Tanganyika nzima.

Mshume Kiyate kachukua jukumu la kuhudumia nyumba ya
Mwalimu Nyerere ili Nyerere afanye vyema kazi ya kupambana
na mkoloni.

Nguruvi3 anamkashifu ati alikuwa muuza "ng'onda."
Ati Sheikh Hassan bin Amir akifanya siasa za msikitini.

Ati Abdul Sykes alikosa kazi akawa anamfitini Nyerere.

Mtu alieweza kununua Mercedes Benz miaka ile ni mtu wa shida ya
kazi ya kupewa na Nyerere?

Wako waliojipendekeza kwa Nyerere wapate mradi wao lakini si
Abdul wala mdogo wake Ally.

Sophia Nyerere hadi anafariki akimtaja Abdul kwa wema.
Kwake yeye alikuwa siku zote, ''Kaka Abdul.''

Huyu ni dada yake Nyerere na alikuwa mke wa Lawrence Gama
aliyekuja kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa.

Mke na mume wote wakimuheshimu Abdul hadi anaingia kaburini
na walikuwa hawapungui kwake.

Sisi wazee wetu wamewapokea watu hawa kama ndugu na wakaishi
nao kwa hisani kubwa.

Ndiyo maana Mama Maria Nyerere alipopokea taarifa kuwa Abdul
kafariki dunia alianguka chini na kuzimia.

Kati yao palikuwa na hisani kubwa.

Siku Mwalimu anawaaga Watanzania pale Diamond Jubilee Hall,
Mama Maria alikkutana na akina mama wenzake.

Alimshika mkono Mama Daisy akasema, ''Sisi tumekuja Dar es Salaam
katupokea huyu Mama Daisy na mumewe marehemu Bwana Abdul
Sykes
.''

Hii ndiyo historia ya wazee wetu na kila nafasi ikipatikana tutaieleza
ifahamike kwa wote asa kheri huenda pakapatikana mafunzo makubwa
vipi Watanzania tuchukuliane.
 
Hapo ndo uwezo wa kupambanua mambo unapotofautiana na nyie wenzetu, hivi mlitegemea baada ya uhuru Nyerere aanze kuhudumia familia za watu au ahudumia nchi!? Nchi ingeendeshwaje kwa kusubiri hisani!? Mtu amelazwa hospitalini sehemu sahihi kabisa, mlitaka aache shughuli nyingine za kujenga nchi aende hispitali!?
"Nyie wenzetu ..." Ni kina nani hao?

Kaka
 
Maalim Faiza,
Nimejifunza mengi kwa watu hawa hapa barzani kiasi sishangai kuwa juu ya hisani kubwa alofanya Abdul Sykes kwa nchi hii wamekuwa na ujasiri wa kumfanyia husda kufikia kukataa asitajwe popote. Magazeti ya TANU chama alichokiasisi kwa juhudi zake kinapokea maelekezo wasiandike hata taazia yake alipofariki mwaka wa 1968. Likatolewa gazeti zima la Africa Events mwaka wa 1988 kwenye mzunguko kwa kuwa tu ndani zimeelezwa habari za Abdul.Hakika Allah amesema kweli wanayoficha vifuani mwao ni makubwa. Ati mimi naandika ngano. Mimi wa kuja hapa kufanya maskhara. Hata hapo ujanani sikuwa mtu wa maskhara. Niko hapa kuitumikia nchi yangu na kuwaeleza watu tulikotoka na hatari inayotunyemelea. Nimekuja hapa na kila aina ya ushahidi muwajue wazee wetu na mtujue sisi ili tuheshimiane. Ijaza yangu ni kejeli na matusi. Wamekuja Dar es Salaam hawana mpango wowote wa kuikomboa Tanganyika kutoka mikono ya Waingereza. Wazee wetu walikuwa na mpango uliokamilika na kubwa kuwaleta watu wote kwenye umoja bila kubaguliwa mtu. Sheikh Hassan bin Amir kaifanya kazi hii kwa ufanisi mkubwa akuwaongoza masheikh wa Tanganyika nzima. Mshume Kiyate kachukua jukumu la kuhudumia nyumba ya Mwalimu Nyerere ili Nyerere afanye vyema kazi ya kupambana na mkoloni. Nguruvi3 anamkashifu ati alikuwa muuza "ng'onda." Ati Sheikh Hassan bin Amir akifanya siasa za msikitini ati Abdul Sykes alikosa kazi akawa anamfitini Nyerere. Sophia Nyerere hadi anafariki akimtaja Abdul kwa wema. Huyu ni dada yake Nyerere na alikuwa mke wa Lawrence Gama. Mke na mume wote wakimuheshimu Abdul hadi anaingia kaburini na walikuwa hawapungui kwake. Sisi wazee wetu wamewapokea watu hawa kama ndugu na wakaishi nao kwa hisani kubwa. Ndiyo maana Mama Maria Nyerere alipopokea taarifa kuwa Abdul kafariki dunia alianguka chini na kuzimia. Kati yao palikuwa na hisani kubwa.
Mzee wangu mwanahistoria wa ukweli Mohamed Said, mungu akuhifadhi na kila shari.. Kazi uliyofanya na unayoendelea kufanya ni kubwa sana na yenye faida sana kwa kila mzalendo mwenye kutaka kujua hasa harakati za Uhuru ilikuwaje..? Ukweli wazee wetu wa TAA na TANU wamesahauliwa sana hawatajwi ipasavyo ilhali wamefanya mengi katika kupigania Uhuru wa nchi hii..mfano alipokufa Ally Sykes gazeti la Citizen walau kidogo liliandikwa vizuri basi, wakati yeye ndo alikuwa mwandishi wa kadi za chama namba 1alimpa mwalimu nyerere na namba 2 ya kwake
Watu kama Idd Faiz leo hafahamiki na wengi ilhali yeye alifanikisha kwa kiasi kikubwa Uhuru wetu, pale alipoombwa na umoja wa waislamu wa Tanganyika kutoa fedha ya mfuko wa umoja huo ili ziende katika hazina ya chama cha TANU, vilevile kwenda hadi Tanga na njiani anarudi alikamatwa, akavuliwa nguo na makachero wa kikoloni kwasababu ya uzalendo wake wa kuchangisha fedha ya maandalizi ya tarehe 17 - 2-1955 mwalimu nyerere aondoke kwenda New York kuhutubia baraza la udhamini la umoja wa mataifa, kwa niaba ya TANU..hii inaonyesha kuwa wazee wetu waliuweka uzalendo wa taifa hili mbele zaidi kuliko ukabila au dini.
Hata kama wataizima nuru yao kwa watu basi mungu ataiangaza mbinguni.. ameen.!
 
Mzee wangu mwanahistoria wa ukweli Mohamed Said, mungu akuhifadhi na kila shari.. Kazi uliyofanya na unayoendelea kufanya ni kubwa sana na yenye faida sana kwa kila mzalendo mwenye kutaka kujua hasa harakati za Uhuru ilikuwaje..? Ukweli wazee wetu wa TAA na TANU wamesahauliwa sana hawatajwi ipasavyo ilhali wamefanya mengi katika kupigania Uhuru wa nchi hii..mfano alipokufa Ally Sykes gazeti la Citizen walau kidogo liliandikwa vizuri basi, wakati yeye ndo alikuwa mwandishi wa kadi za chama namba 1alimpa mwalimu nyerere na namba 2 ya kwake
Watu kama Idd Faiz leo hafahamiki na wengi ilhali yeye alifanikisha kwa kiasi kikubwa Uhuru wetu, pale alipoombwa na umoja wa waislamu wa Tanganyika kutoa fedha ya mfuko wa umoja huo ili ziende katika hazina ya chama cha TANU, vilevile kwenda hadi Tanga na njiani anarudi alikamatwa, akavuliwa nguo na makachero wa kikoloni kwasababu ya uzalendo wake wa kuchangisha fedha ya maandalizi ya tarehe 17 - 2-1955 mwalimu nyerere aondoke kwenda New York kuhutubia baraza la udhamini la umoja wa mataifa, kwa niaba ya TANU..hii inaonyesha kuwa wazee wetu waliuweka uzalendo wa taifa hili mbele zaidi kuliko ukabila au dini.
Hata kama wataizima nuru yao kwa watu basi mungu ataiangaza mbinguni.. ameen.!
Kaabah,
Kuna mtu kamkashifu babu yangu hapa ati aliwekwa kizuizini na Nyerere
kwa ajili ya chokochoko za dini.

Nikamwekea historia ya babu yangu vipi waliachana mkono na Nyerere.

Huyu bwana hana ule uungwana wa kunitaka radhi kwa kumzulia uongo
babu yangu ameshindwa.

Huyu jamaa jina lake Nanren.

Ingia hapa umesome babu yangu na nini alifanya kupambana na na dhulma
za wakoloni.

Wala hakusoma Makerere.
Yeye ni muhitimu wa Ilm ya dini kutoka Zanzibar:
Mohamed Said: KUTOKA JF: BABU YANGU SALUM ABDALLAH

Kuna mwingine anaitwa Nguruvi3,

Anasema Nyerere aliandika katiba ya TANU ati Abdul Sykes yeye
ilimshinda.

Nikamweleza kuwa katiba ya TANU haikuandikwa na mtu yoyote pale
New Street.

Katiba ya TANU ilikopiwa kutoka katiba ya Convention People's Party
(CPP) ya Kwame NKrumah wa Ghana.

Akamkashifu sana mzee wangu Abdul Sykes.
Mimi sisemi kwa utashi wangu.

Mimi hizi habari za katiba alinieleza Tewa Said Tewa mmoja wa wale watu
17 walioasisi TANU.

Ritz kaleta rejea ya Joseph Mihangwa inayoonyesha kuwa hakika katiba
ya TANU ni sawa na katiba ya CPP.

Nguruvi3 toka jana haonekani barazani.
Vijana wana msemo kaingia mitini.

Huyu nae Uncle Jei Jei kaja na Vita Vya Maji Maji hana habari kuwa
Wajerumani walipambana na Waislam.

Nimemwekea ushahidi na yeye vilevile kajificha haonekani hapa Majlis.
Hii ''level ya ignorance,'' katika historia ya Tanganyika kweli inatisha.

Elimu ya historia hawana lakini hawataki kujifunza wamekalia ubishi.
 
Maalim Faiza,
Nimejifunza mengi kwa watu hawa hapa barzani kiasi sishangai
kuwa juu ya hisani kubwa alofanya Abdul Sykes kwa nchi hii
wamekuwa na ujasiri wa kumfanyia husda kufikia kukataa asitajwe
popote.

Magazeti ya TANU Nationalist na Uhuru na chama alichokiasisi kwa
juhudi zake kinapokea maelekezo wasiandike hata taazia yake pale
alipofariki mwaka wa 1968.

Likatolewa gazeti zima la Africa Events mwaka wa 1988 kwenye
mzunguko kwa kuwa tu ndani zimeelezwa habari za Abdul.

Hakika Allah amesema kweli wanayoficha vifuani mwao ni makubwa.
Ati mimi naandika ngano naandika fitna kugombanisha watu.

Mimi wa kuja hapa kufanya maskhara?
Hata hapo ujanani sikuwa mtu wa maskhara.

Niko hapa kuitumikia nchi yangu na kuwaeleza watu tulikotoka na
hatari inayotunyemelea.

Nimekuja hapa na kila aina ya ushahidi muwajue wazee wetu na
mtujue sisi ili tuheshimiane.

Ijaza yangu ni kejeli na matusi.

Wamekuja Dar es Salaam hawana mpango wowote wa chama wala
mpango wa kuikomboa Tanganyika kutoka mikono ya Waingereza.

Wazee wetu walikuwa na mpango uliokamilika na kubwa kuwaleta
watu wote kwenye umoja bila kubaguliwa mtu.

Sheikh Hassan bin Amir kaifanya kazi hii kwa ufanisi mkubwa
akiwaongoza masheikh wa Tanganyika nzima.

Mshume Kiyate kachukua jukumu la kuhudumia nyumba ya
Mwalimu Nyerere ili Nyerere afanye vyema kazi ya kupambana
na mkoloni.

Nguruvi3 anamkashifu ati alikuwa muuza "ng'onda."
Ati Sheikh Hassan bin Amir akifanya siasa za msikitini.

Ati Abdul Sykes alikosa kazi akawa anamfitini Nyerere.

Mtu alieweza kununua Mercedes Benz miaka ile ni mtu wa shida ya
kazi ya kupewa na Nyerere?

Wako waliojipendekeza kwa Nyerere wapate mradi wao lakini si
Abdul wala mdogo wake Ally.

Sophia Nyerere hadi anafariki akimtaja Abdul kwa wema.
Kwake yeye alikuwa siku zote, ''Kaka Abdul.''

Huyu ni dada yake Nyerere na alikuwa mke wa Lawrence Gama
aliyekuja kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa.

Mke na mume wote wakimuheshimu Abdul hadi anaingia kaburini
na walikuwa hawapungui kwake.

Sisi wazee wetu wamewapokea watu hawa kama ndugu na wakaishi
nao kwa hisani kubwa.

Ndiyo maana Mama Maria Nyerere alipopokea taarifa kuwa Abdul
kafariki dunia alianguka chini na kuzimia.

Kati yao palikuwa na hisani kubwa.

Siku Mwalimu anawaaga Watanzania pale Diamond Jubilee Hall,
Mama Maria alikkutana na akina mama wenzake.

Alimshika mkono Mama Daisy akasema, ''Sisi tumekuja Dar es Salaam
katupokea huyu Mama Daisy na mumewe marehemu Bwana Abdul
Sykes
.''

Hii ndiyo historia ya wazee wetu na kila nafasi ikipatikana tutaieleza
ifahamike kwawote asa kheri huenda pakapatikana mafunzo makubwa
vipi Watanzania tuchukuliane.

Alama Mohamed Said nnashangazwa sana na hawa watu. Mnakasha ule wa miaka ya nyuma nilikuwa ninawaambia leteni basi ukweli kama huu si ukweli. Hakuna hata mmoja aliyethubutu. Mwishowe ndiyo kama ulivyoona anakuja mtu anaejiita Ngongo bila aibu wala soni anatwambia kuwa Cecil Matola ni "mwanamama".
 
Alama Mohamed Said nnashangazwa sana na hawa watu. Mnakasha ule wa miaka ya nyuma nilikuwa ninawaambia leteni basi ukweli kama huu si ukweli. Hakuna hata mmoja aliyethubutu. Mwishowe ndiyo kama ulivyoona anakuja mtu anaejiita Ngongo bila aibu wala soni anatwambia kuwa Cecil Matola ni "mwanamama".
Unajua mimi nilikuwa sijaona hili kuna jamaa yangu mmoja mjukuu wa huyu Mzee yupo Mission Kota mtaa wa Likoma na Aggrey alinipigia simu kuniambia Mzee wao anakosewa heshima daaah!!
 
Back
Top Bottom