Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,505
2liishana achana na ndo mana najarbu kumweka huyu sawa bt ye bado haniamin.
Umenena vyema mkuu kuwa naye karibu jaribu kumhakikishia kuwa hayo yamepita na umthibitishie kuwa hakuna mwingine zaidi yake
Mkuu nakushukuru kwa kutuwekea wazi hisia zenu punde mnapotustukia kuwa tumecheat!! Hili ni tatizo kubwa na nataka kukuhakikishia kuwa kama hawa watu wapo mbali ni vigumu sana kuepuka jambo hili. Nikuhakikishie kuwa kwa upande wa wanaumeni wachache wanaoweza kuvumilia kwa muda mrefu hata kama mtadanganyana na hatagundulika. Hoja ya kama ananipenda why mwingine jibu ni tamaa tu zinasukuma baadhi ya wanaume... Yawezekana anampenda sana lakini tamaa tu pamoja na kichocheo cha umbali uliopo kati yao. Tukatae tukubali mwanaume tofauti na mwanamke ameumbwa kwa tamaa na wakati mwin gine hata kama anaye aliyemuweka moyoni kwa dhati kabisa hujisikia kutest tu another type.....Sasa haimaanishi chuki kwa yule ampendaye... Kwamba ananionaje mimi yawezekana kabisa ankuona ni everything katika maisha yake.... Hata wakati mwingine akiwa huko baada ya kitendo anaishia kujilaumu kwa kula makombo wakati chakula safi anacho!!... Yupo hata mwingine aliwahi kunisimulia kuwa akiwa huko ilibidi amkumbuke mke wake ili zoezi liweze kuwa successfull..... Hopeful nimeeleweka kwa kifupi bila kumumunya maneno This are the things people do. Sasa unapomshauri waachane make sure kuwa anaweza kutengeneza orodha ndefu sana ya atakaowaacha pengine ahamue kuwa single tu na kuachana na biashara ya kuwa commited somewhere! .... Naungana na mwanasaikolojia mmoja (Stan Kennedy) aliyewahi kusema..."Loving is risky. To love is to be vulnerable giving your hearth to someone ensures it will be broken ,pierced, wounded and made malleable...."
Umenena vyema mkuu kuwa naye karibu jaribu kumhakikishia kuwa hayo yamepita na umthibitishie kuwa hakuna mwingine zaidi yake
Msimdanganye mwenzenu sijui kumgusa sehemu wala nini! Wewe si mwaninifu kwanini uaminiwe? Huyo dada si naive kama wadada wengi! Imani ikishatoweka imetoweka!
Msingi mkubwa wa relations zihusuzo mapenzi ni uaminifu! Anaweza kukubali kuwa na wewe lkn haimaanishi kuwa anakuamini! Mtaishi lkn atakuangalia kwa jicho la tatu na u don't want that in relation!
As a woman ngoja nikusaidie anachowaza!
-Kama ananipenda why awe na mtu mwingine?
-Kama ni X kwanini hakuniambia?
-ni huyu tu au kuna wengine?
- hivi ananionaje mimi?
-hivi hatujaona na sijachuja je akishaniweka ndani?
-hivi anajua kuna magonjwa kweli?
Hayo ni baadhi tu ya maswali! Ushauri wangu, so kila unachokitamani unakipata; muache umeshaharibu from the very begining! If hutaki kushindwa kama vidume vingi kwa ajili ya ego then, give her time, befriend her n slowly she will gain trust! Now the question is if she will need 6 month will u be able kuvumilia na kumake sure, hauharibu tena? Majibu unayo Goodluck!
Mkuu nakushukuru kwa kutuwekea wazi hisia zenu punde mnapotustukia kuwa tumecheat!! Hili ni tatizo kubwa na nataka kukuhakikishia kuwa kama hawa watu wapo mbali ni vigumu sana kuepuka jambo hili. Nikuhakikishie kuwa kwa upande wa wanaumeni wachache wanaoweza kuvumilia kwa muda mrefu hata kama mtadanganyana na hatagundulika. Hoja ya kama ananipenda why mwingine jibu ni tamaa tu zinasukuma baadhi ya wanaume... Yawezekana anampenda sana lakini tamaa tu pamoja na kichocheo cha umbali uliopo kati yao. Tukatae tukubali mwanaume tofauti na mwanamke ameumbwa kwa tamaa na wakati mwin gine hata kama anaye aliyemuweka moyoni kwa dhati kabisa hujisikia kutest tu another type.....Sasa haimaanishi chuki kwa yule ampendaye... Kwamba ananionaje mimi yawezekana kabisa ankuona ni everything katika maisha yake.... Hata wakati mwingine akiwa huko baada ya kitendo anaishia kujilaumu kwa kula makombo wakati chakula safi anacho!!... Yupo hata mwingine aliwahi kunisimulia kuwa akiwa huko ilibidi amkumbuke mke wake ili zoezi liweze kuwa successfull..... Hopeful nimeeleweka kwa kifupi bila kumumunya maneno This are the things people do. Sasa unapomshauri waachane make sure kuwa anaweza kutengeneza orodha ndefu sana ya atakaowaacha pengine ahamue kuwa single tu na kuachana na biashara ya kuwa commited somewhere! .... Naungana na mwanasaikolojia mmoja (Stan Kennedy) aliyewahi kusema..."Loving is risky. To love is to be vulnerable giving your hearth to someone ensures it will be broken ,pierced, wounded and made malleable...."