Handbag ya Colleen Rooney inagharimu £7,000

Jamani hii mitumba ikija huku ndo tunanunua elfu 30 ati[emoji28]

Mtumba wa uingereza hata kiatu ukikipata unanunua laki mbili, sisi Afrika tunatwanga mtumba wa korea kusini, korea kaskazini, china na thailand wakati mitumba ya vifaa vingi vya umeme vinatoka uarabuni yaani wanakusanya oman, qatar, saudi, wanaweka pamoja na vya dubai ndio sisi tunachukulia dubai ndio hayo mafriji, radio, tv, pasi, simu, maana electronic ya mzungu ina bei pia, wakati huo mtumba wa magari tunachota japan na dubai, kwenye ustaarabu wa mpangilio na matumizi ya vitu Duniani mzungu yupo namba moja, waarabu wako rough hawana mpangilio bora halafu mwafrika ndio tunafuatia sasa, unakuta mmejenga nyumba marehemu kafariki mwaka tisini bado nguo zake mmetunza au unakuta kuna chumba kina makorokoro hayana hata maana wala hayatimiki kosa muyachome pawe safi mnajaza vumbi ndani na wadudu ukiuliza kwa nini mnatunza huu uchafu sababu hawana.
 
Ukipigiwa total ya juu mpaka chini unaeza kuta £25000.
CHANNEL hata wallet za mfukoni(wanaume)kama utanunua mall, hakuna iliyochini ya 150k za madafu.
Labda ukasagule k/koo
Hush Puppy alikua anatumia $ 400,000 kwenye duka la Gucci kwa shopping moja.
 
Kweli hii tabia ya kutunza vitu vingi ndani visivyokuwa na faida ni uchafu tu ndani.

Shoga yangu alifariki nguo zake vyombo tumewatunzia watoto wake wana miaka 6 na 4. Mmmh mpaka wakuwe kazi ipo.
 
Mitumba ya UK inakwenda sana Ghana, Rwanda na Uganda na mingine inapitia katika Bandari zetu.
 
Kweli hii tabia ya kutunza vitu vingi ndani visivyokuwa na faida ni uchafu tu ndani.

Shoga yangu alifariki nguo zake vyombo tumewatunzia watoto wake wana miaka 6 na 4. Mmmh mpaka wakuwe kazi opo.
😂😂😂 zaidi ya khanga na vitenge watakuta fashion za 2040 huko hata wenyewe watashangaa
 
😂😂😂 zaidi ya khanga na vitenge watakuta fashion za 2040 huko hata wenyewe watashangaa
🤣🤣🤣Cha ajabu mama yao alikkuwa havai nguo mwaka mzima' alikuwa akichoka nguo zote anapeleka vituo vya watoto yatima anaanza kununua nyingine alikuwa mtu wa fashion sana
 
Kweli hii tabia ya kutunza vitu vingi ndani visivyokuwa na faida ni uchafu tu ndani.

Shoga yangu alifariki nguo zake vyombo tumewatunzia watoto wake wana miaka 6 na 4. Mmmh mpaka wakuwe kazi ipo.

Haushangai mtu kajenga eneo lililobaki lote la robo ekari anaweka paving blocks lote kosa aligawe apangilie garden yenye majani na maua mazuri au hata apande matunda kama apple, pomegranate, ili kutunza mazingira na hali ya hewa kwake, tunamambo ya ajabu sana
 
Navile umezoea kwenda kwenye sagulasagula za majengo halafu unasogea pale kisumapai kukagua mzigo wako ili uvuke ukapande daladala unajua na mama rooney yuko songea, binamu roho itakuchomoka shauri yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamuuuuu mbna km umeguswaa sanaaa? Vipi ulimchangia mama Rooney? Au nawee umeagiza kupitia KIKUU?? sio kwa hasiraa hizi lol.

Hebu relaaaaaax bina khaaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…