DiswaHabari wakuu!
Ukiona fursa ni vyema kushare na wenzako. Kuna kijiji nipo katika wilaya ya Handeni kuna fursa kibao sana! Moja wapo ya biashara ya grocery. Kama una mtaji wa kufungua grocery tuwasiliane kuna hela yako nyingi sana katika hicho kijiji. Waliopo huku wengi ni wazawa hivyo biashara kwao ni changamoto sana wanaanzisha wanaacha.
Kama itakufaa nyoo upige hela yako. Najua kuna watu watauliza kwanini mimi sifanyi nataka wengine wafanye! Jibu ni simple nafanya biashara ingine katika hichi hichi kijiji!
Asante sana kwa kutushirikisha mashamba yakuweza kufugia huko yanapatikana? na heka moja sh ngapi? yawe hayajasafishwa mapori.Habari wakuu!
Ukiona fursa ni vyema kushare na wenzako. Kuna kijiji nipo katika wilaya ya Handeni kuna fursa kibao sana! Moja wapo ya biashara ya grocery. Kama una mtaji wa kufungua grocery tuwasiliane kuna hela yako nyingi sana katika hicho kijiji. Waliopo huku wengi ni wazawa hivyo biashara kwao ni changamoto sana wanaanzisha wanaacha.
Kama itakufaa nyoo upige hela yako. Najua kuna watu watauliza kwanini mimi sifanyi nataka wengine wafanye! Jibu ni simple nafanya biashara ingine katika hichi hichi kijiji!
Yeye anaweza dhania anapiga hela kumbe anapigwa yeye! Handen kuna ulozi sanaOgopa sana huko Handeni hela huwa zinapotea kimazingara sana 🤣🤣🤣
Handeni kwa wazigua na wanguu tatizo wachawi sanaaaaaHabari wakuu!
Ukiona fursa ni vyema kushare na wenzako. Kuna kijiji nipo katika wilaya ya Handeni kuna fursa kibao sana! Moja wapo ya biashara ya grocery. Kama una mtaji wa kufungua grocery tuwasiliane kuna hela yako nyingi sana katika hicho kijiji. Waliopo huku wengi ni wazawa hivyo biashara kwao ni changamoto sana wanaanzisha wanaacha.
Kama itakufaa nyoo upige hela yako. Najua kuna watu watauliza kwanini mimi sifanyi nataka wengine wafanye! Jibu ni simple nafanya biashara ingine katika hichi hichi kijiji!
Habari wakuu!
Ukiona fursa ni vyema kushare na wenzako. Kuna kijiji nipo katika wilaya ya Handeni kuna fursa kibao sana! Moja wapo ya biashara ya grocery. Kama una mtaji wa kufungua grocery tuwasiliane kuna hela yako nyingi sana katika hicho kijiji. Waliopo huku wengi ni wazawa hivyo biashara kwao ni changamoto sana wanaanzisha wanaacha.
Kama itakufaa nyoo upige hela yako. Najua kuna watu watauliza kwanini mimi sifanyi nataka wengine wafanye! Jibu ni simple nafanya biashara ingine katika hichi hichi kijiji!
Hapa wanakaa wazigua na wamasai! Ma don ni wamasai ndo wanahitaji huduma za grocery n.k sema ndo hivyo watu wa huku biashara hawajui wanafungua then wakipata hela kidogo wanaanza kufungua ofisi saa 4!Handeni kwa wazigua na wanguu tatizo wachawi sanaaaaa
Kuna fursa ya kufungua duka la dawa muhimu nije ??
Hapa nilipo hiyo fursa watu washaruka nayo maybe vijiji vya jirani! Duka la dawa muhimu vijijini hela ipo sana tu! Af kuhusu kulogana wanalogana wao kwa wao, mgeni hawana shughuli na wewe!Handeni kwa wazigua na wanguu tatizo wachawi sanaaaaa
Kuna fursa ya kufungua duka la dawa muhimu nije ??
Nitakushukuru sanaYapo mengi ngoja niulize af nikupe bei
Hakika ww umesema ukweli KABISA. Mtoa mada hapajui handeniHandeni na bia wapi na wapi kaka?soda tu wanakupiga zongo sembuse bia?
Nilopigwa zongo Moja Hilo huko ni balaaa 😁😁 uzuri wake dawa wenyewe wanazijua wakanitibu ila moto niliuonaHandeni na bia wapi na wapi kaka?soda tu wanakupiga zongo sembuse bia?