HANDSHAKE Kati ya Raila na Ruto anasukumwa na nguvu ya umma, handshake ya CCM na CDM inasukumwa na ulaghai wa dola au utashi wa kiongoz aliyepo juu

HANDSHAKE Kati ya Raila na Ruto anasukumwa na nguvu ya umma, handshake ya CCM na CDM inasukumwa na ulaghai wa dola au utashi wa kiongoz aliyepo juu

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Watanzania wengi wanafuatilia siasa za Kenya kuliko siasa za Tanzania. Kenya wanao Uhuru wa kufanya siasa na uchakachuaji WA matokeo hakuna kama ilivyo Tanzania.

Tanzania watumishi WA umma wanafundishwa kuheshimu chama tawala wakati Kenya watu wa umma wanafundishwa na katiba kujitenga na siasa za vyama.

Tanzania watumishi WA umma wanalazimishwa wote wavae mavazi ya chama tawala, wanafunzi wanaingiliwa nakulazimishwa kuimba nyimbo za chama tawala wakati Kenya wanatii sheria na hakuna kulazimisha watoto siasa mashuleni.

Kenya handshake inatafutwa Kwa kuwaamasisha wananchi, Tanzania kuwaamasisha wananchi ni jinai.

Pale tunapoamini handshake Kenya NI muhimu tujifunze pia kuwa hata Tanzania tunapaswa kuboresha mfumo wa siasa uwalazimishe wanasiasa watafute handshake kutokana na nguvu ya umma.
 
Hayo ni mawazo yako pia jambo hilo ilikuwa ni previous regime
 
Watanzania wengi wanafuatilia siasa za Kenya kuliko siasa za Tanzania. Kenya wanao Uhuru wa kufanya siasa na uchakachuaji WA matokeo hakuna kama ilivyo Tanzania.

Tanzania watumishi WA umma wanafundishwa kuheshimu chama tawala wakati Kenya watu wa umma wanafundishwa na katiba kujitenga na siasa za vyama.

Tanzania watumishi WA umma wanalazimishwa wote wavae mavazi ya chama tawala, wanafunzi wanaingiliwa nakulazimishwa kuimba nyimbo za chama tawala wakati Kenya wanatii sheria na hakuna kulazimisha watoto siasa mashuleni.

Kenya handshake inatafutwa Kwa kuwaamasisha wananchi, Tanzania kuwaamasisha wananchi ni jinai.

Pale tunapoamini handshake Kenya NI muhimu tujifunze pia kuwa hata Tanzania tunapaswa kuboresha mfumo wa siasa uwalazimishe wanasiasa watafute handshake kutokana na nguvu ya umma.
hutaona handshake kati ya ruto na raila labda uwe unaota the same applies CHADEMA sio wapumbavu na hawawez kuingia kwenye ujinga wa ccm labda ccm wafanye handshake na vibaraka wao ACT.
 
hata upinzani wa Kenya ni tofauti na tz,uelewa wa watu izo nchi ni tofauti.fatilia mijadara ya wakenya na mijadala ya watanzania utajua.
 
Back
Top Bottom