Hangary: Hatutoafikiana na EU kuweka vikwazo dhidi ya mafuta na gesi ya Russia, 90% ya waHungary watapata dhiki kubwa na uchumi wetu utaanguka

Nilitegemea wangefika huko kutokubaliana, lakini sikutegemea kama ingekuwa mapema hivi
 
EU ni AU ilichangamka,ina uchumi mzuri, ina teknolojia, lakini nao ni mandezi kama AU tu, marekani hana nia nzuri na wao,anafanya yoote kwa manufaa yake.
Watashangaa vita inaisha ndumilakuwili USA anawafungulia vikwazo RUSSIA na kuendelea na biashara zao kama awali kwa ile filosofi yao ya kutokuwa na Rafiki wala Adui wa kudumu [emoji23]
 
nchi yenyewe inaongozwa na Bibi ,ambaye ni KE .kuolewa ni obviously
 
wengi mnajadili tu ila hamjui kwanini EU inasimama na USA na kumsikiliza..

Mkasome vizuri WW2, ndio mtafahamu kwanini mataifa ya ulaya magharibi yanasujudu kwa USA.?
 
Muhuni kama muhuni, anataka Europe imuinamie yeye US, alianzisha chokochoko za trade war tariffs, mara 5G, akawamimd kumpa Huawei kazi, basi he is a bully!
Kila kitu security Yao tyuu, na siyo wenzake!

Pole SANA Europe Kwa kuzidiwa akili!
 
Ngoja waingie mkenge wa [emoji631] waone watakavyoumia
Natizama habari mda huu UTV, Evona Kamutu amuhoji mmoja wa watanzania anayeishi Alabama, anadai bei ya mafuta Marekani imepanda karibia mara mbili.

Huyo US kishaanza kuumia je wao wenye uchumi wa kuungaunga, bora wafikirie kwa kutumia vichwa vyao kuna na hali yao na si kuendeshwa huku ukimfurahisha UE na kumuumiza mwananchi wa kawaida.
 
Katika kitu ambacho Baiden ali kurupuka ni kwenye vikwazo vya mafuta na hawezi kuvifuta maana akithubutu itakuwa ni aibu ya mwaka.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Kinachofuata ni Uchumi wa russia kuporomoka, raia wataingia mtaani kuandamana.
Putin kupinduliwa.
Itabaki story, maisha yatarudi kua kawaida.
Vikwazo vya namna hii iliwekewa Iran mwaka 2018 na utawala wa Trump watu wakawa wanasema eti utawala wa Ayatullah unaanguka ndani ya mwaka lakini mpaka sasa hakuna kilicho tokea.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Tunasitisha Nordstream mbele ya camera na mapichapicha, behind the scenes mambo ni kama kawaida Nordstream inaendelea! Bila Nordstream wanajua wanarudi nyuma! Na uchumi wa nchi nyingi ulitetereka na COVID,
 
ila hili lakupanda kwamafuta hata yule mpuuzi BIDEN alilisema ila akawaambia raia wake kwamba inabidi waumie sasa kwabaadae yao iliobora
acha tuone
 
Tunasitisha Nordstream mbele ya camera na mapichapicha, behind the scenes mambo ni kama kawaida Nordstream inaendelea! Bila Nordstream wanajua wanarudi nyuma! Na uchumi wa nchi nyingi ulitetereka na COVID,
kama nakuelewa hv
 
ila hili lakupanda kwamafuta hata yule mpuuzi BIDEN alilisema ila akawaambia raia wake kwamba inabidi waumie sasa kwabaadae yao iliobora
acha tuone
Baadaye ipi??
Hili chaka la miiba na misiba,
UN Kura zilivyopigwa US hakutegemea,
Juzi Kati UAE na Saudi, ma king, wamechomoa kupokea simu za Biden!
Aibu tupu!

Watu imefikia mahali tumewachoka, ni bully of the playground. Nafikiri anaelewa dunia inavyojisikiaga. Anavyokuwaga anamkingia Kifua Israel kwenye issue ya Palestine!
 
hakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…