fine face
Senior Member
- Oct 13, 2016
- 102
- 77
Hahaha nmecheka saana aiseeee... huyo dada hana shida na mapenzi uwepo usiwepo yeye sawa tu.
Hata mimi nlishawahi kuwa hivyo yaaani usiponitafuta sikutafuti, ukinuna imekula kwako ila nilikuwa simpendi nilihisi siendani nae , nilijua ipo siku nitamuacha tuu so sikuona haja ya kumbembelezana wakati tutaachana......Ila baada ya mda nkaanza kumpenda na viwivu wivu , paying attention,akikosea naumia .
So jaribu kumuuliza au wewe muanze kupeti peti atajiongeza
Hata mimi nlishawahi kuwa hivyo yaaani usiponitafuta sikutafuti, ukinuna imekula kwako ila nilikuwa simpendi nilihisi siendani nae , nilijua ipo siku nitamuacha tuu so sikuona haja ya kumbembelezana wakati tutaachana......Ila baada ya mda nkaanza kumpenda na viwivu wivu , paying attention,akikosea naumia .
So jaribu kumuuliza au wewe muanze kupeti peti atajiongeza