Huyu dada ni kama umenisema mimi tabia za huyu dada sawa na zangu, ukiwa na mimi nikagundua una mtu nikifanikiwa kukuuliza jibu utakalonipa ndo hilo sihangaiki tena kukufuatilia najua kuna kitu sina ndo umekipata huko ila najua utarudi tu na utarudi kweli, sikuulizi mimi ninachoangalia umerudi kuna kitu huko umekosa wewe ni mtu mzima hupangiwi jinsi ya kuishi, ninachotaka uuthamini uwepo wangu basi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]unaweza kuta dada ana dido lake usipotaka dydyu anajiongeza tu
Happiness is a choice. Mdada has chosen to live stress free life kwa ustawi wa afya ya moyo na akili yake. Amependa kwa akili,haya mapenzi ukiyaendekeza utakufa siku si zako. Nimependa hizo swaga zake.Kuna watu wanamsifia huyo dada but ukweli ni kwamba jiongeze. Kwake ukiwepo usipokuwepo hupungukiwi chochote.
Na hiyo ni hatari.
ha hahaha akome eti anajisisfia namletea vituko ha haha tena ana dido la umeme[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Oooh poor mleta mada!
mimi napenda kudeka .. ukinikuta nimebananishwa wewe nakuwa mpole nadeka tu
sawa mkuu .. ngoja niendeleze madeko mieKudeka haimaanishi usiwe na msimamo au mkali, na wala sio vibaya. Tatizo huyu mwanaume mwenzetu katuangusha sana.
Hadi hapo nafikiri kweli bado hajui anachokitaka, aoe au asioe na amuoe nani.
Vituko vyenyewe vikagonga mwamba, haki nimecheka kama mazuri.ha hahaha akome eti anajisisfia namletea vituko ha haha tena ana dido la umeme
ha hahaha demu nunda balaaVituko vyenyewe vikagonga mwamba, haki nimecheka kama mazuri.
Shida yake si kuombwa hela, aje nimuombeeeeeee hadi sms yangu ikiingia kwenye simu yake simu inazima.ha hahaha demu nunda balaa
Hakuna penzi hapo.... au anampenda ila anaualakini yaani hana uhakika nae.Kuna watu wanamsifia huyo dada but ukweli ni kwamba jiongeze. Kwake ukiwepo usipokuwepo hupungukiwi chochote.
Na hiyo ni hatari.
ha hahaha bora simu izime anaweza kuzimia yeyeShida yake si kuombwa hela, aje nimuombeeeeeee hadi sms yangu ikiingia kwenye simu yake simu inazima.
Hahahahaaaaa, rejea wimbo wa mwanafa, bado niponipoUmeolewa tayari? Nyie ndio wife material
unaweza kusema hivyo kwa upande 1, utakuwa right. But huyu mdada anakid na jamaa anakid. Kiuhalisia kuna vuta n kuvute hapa. So inawezekana situation imemfanya awe hivyo kutokana na background yao.Happiness is a choice. Mdada has chosen to live stress free life kwa ustawi wa afya ya moyo na akili yake. Amependa kwa akili,haya mapenzi ukiyaendekeza utakufa siku si zako. Nimependa hizo swaga zake.