py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Shomari ni muoga tu hatuwezi kuvumilia kumlipa bure mshahara, anatakiwa kucheza sivyo tutamuacha... vipimo vinaonesha mzima "
Kauli ya mwenyekiti wa usajili Simba SC ndugu Hans Pope juu ya majeraha ya muda mrefu ya beki wa kulia wa timu hiyo Shomari Kapombe.
Kauli ya mwenyekiti wa usajili Simba SC ndugu Hans Pope juu ya majeraha ya muda mrefu ya beki wa kulia wa timu hiyo Shomari Kapombe.