nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Saikolojia iko hivyo, mtu mwenye uhakika wa kupigwa huongea sana...
Sema Labani og nunua simu, wewe ni mwananchi mwenzangu acha ubahiri
Yanga bila Chama kwa sasa ni sawa na pilau isiyokuwa na chumvi!!Hicho kikosi hata man city anakalishwa🦾💪
Muda yule muhimu kuanza, Abuya sub mzuri sana.Safari hii Mudathir ataanza dhidi ya Abuya
kuna watu huu uzi wanausoma kama wanaaga mwili“Yanga SC wamekuwa bora zaidi ya Simba SC hawawafungi wapinzani kwa bahati mbaya. This time Simba SC wataingia kutaka kuondoa uteja na uwezo huo wanao. Katika mechi 13 zilizopita Simba SC kashinda mechi mbili tu"
.
"Ukitazama katika makaratasi Yanga SC wana timu nzuri kuliko Simba SC, lakini hii ni Derby ambayo huwa ina mambo mengi ndani yake, lakini mechi itaamuliwa katikati ya uwanja"
.
HANS RAPHAEL,Mchambuzi CROWN FMView attachment 3127499
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hii yanga hata mm mchambuzi....ninaiogopa mkuuSaikolojia iko hivyo, mtu mwenye uhakika wa kupigwa huongea sana...
Mfano Mandonga mtu kazi.
Kwann mkuuSema Labani og nunua simu, wewe ni mwananchi mwenzangu acha ubahiri
Pale Yanga hakuna star....Yanga bila Chama kwa sasa ni sawa na pilau isiyokuwa na chumvi!!
Tecno haifai
Wana nuna??[emoji23]kuna watu huu uzi wanausoma kama wanaaga mwili
Mkuu natumia Tecno ya bei ghali sanaTecno haifai
Tuwekee kikosi kilichocheza na KenGold ya Chunya tuone ni nani alikosekana hapo hadi hali ikawa teteHicho kikosi hata man city anakalishwa🦾💪
Haya mwananchiMkuu natumia Tecno ya bei ghali sana
Tecno camon 39 pro 5G
hii nadhani ni zaidi ya thamani ya nyumba yakoView attachment 3127633
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Factors zinaweza kuwa nyingi ...Tuwekee kikosi kilichocheza na KenGold ya Chunya tuone ni nani alikosekana hapo hadi hali ikawa tete
Yaah Mkuu....ukiwa na financial hardship... concert Mimi Iko kupa pesa weweHaya mwananchi
Tuwekee kikosi kilichocheza na KenGold ya Chunya tuone ni nani alikosekana hapo hadi hali ikawa tete
Chama hii mechi wasijaribu kumpanga! Yule bado ana connection na viongoz wa upande wa 2Yanga bila Chama kwa sasa ni sawa na pilau isiyokuwa na chumvi!!
Mzee wa kuomba ban