Hans Raphael: Yanga bado ni bora sana kuliko Simba SC

kuna watu huu uzi wanausoma kama wanaaga mwili
 
Hata kikosi kilichocheza ngao ya jamii pia hakikuwa na magoli mengi na waliofungwa walishangilia kufungwa goli chache kama ilivyokuwa Kengold. Inawezekana team hizi mbili zinafanana uwezo
Tuwekee kikosi kilichocheza na KenGold ya Chunya tuone ni nani alikosekana hapo hadi hali ikawa tete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…