Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliomba kujiuzulu mda mrefu kwa kuwa umri wake umeenda na mara kwa mara ameliongelea hilo kwa uobgozi wa club,ndipo club imemtafuta Mzambia na Plujin atabaki katika bench la ufundi kama mtaalamu na oia si unajua tena Van ni mwanachama wa Young Africa?
Yanga wehu sasa kocha yule ana shida gani, tukiweka pembeni ushabiki, Yanga ina kikosi kikali sana,duuuuuuh wabongo kweli vichaa
Kushindwa kuifunga timu mbovu kama simba tena wako pungufu... Lazima afukuzwe
Be consistent. Umesema Yanga kama .....'wasingekuwa na washambuliaji wazuri kwa kiwango cha Tanzania wangefungwa ila Kagera walishambuliwa sana kiasi cha .....'. Halafu kwenye maelezo hayohayo unasema '....... kama walivyoihujumu Kagera juzi.....'. Tushike lipi kati ya mawili haya yanayotofautiana?Tatizo la Yanga sio kocha bali ni beki, yanga ina beki na viungo waliochoka, ndio maana wanafungika vizuri, hata walipo cheza na Kagera, wasingekua na washambuliaji wazuri kwa kiwango cha Tanzania, wangefungwa ila kagera walishambuliwa sana kiasi cha kuwafanya washambulia wa Kagera kushindwa kufanya mashambulizi.
Kwangu mimi kocha Hans ni kocha mzuri sana wa Kiwango cha Afrika, nini uhakika Yanga watajutia kumpoteza Prugen, tusubiri muda utaongea, Huyu Manji na maamuzi yake ya pesa badala ya akili ya michezo kuna siku mtamchukia. Tuendako Simba inaenda kuwa kilbu inyowalipa vizuri wachezaji wake na kilbu yenye pesa, Yanga haitaweza tena kuihujumu kwa kurubuni wachezaji wake ili kupata ushindi, kama walivyoihujumu kagera juzi, ili kwenye kikao Manji aonekane zaidi ya Yanga.
Eeeh! Kumbe wewe ni wa mtaa ule?sisi kwetu furaha
ArushaHans Van Plujim ni mkuu wa mkoa gani kwani
Haiwezekani. Huwezi kumfananisha Pluijm na kocha huyu mpya. Ndio maana Yanga wenyewe hawakuamua kumfukuza Pluijm bali kumpa cheo kikubwa zaidi ya huyo kocha mpya; Mkurugenzi wa Ufundi. Na usifikirie kwamba angepunguziwa mshahara, wala kwamba huyu mpya angekuwa na mshahara sawa au mkubwa zaidi ya wa Pluijm. Walichotaka kufanya Yanga ni kuua ndege wawili kwa jiwe moja. Kuongeza nguvu kwenye mashindano ya Kimataifa kwa kuwa na jopo pana na lenye uweledi zaidi kiufundi huku ikimwondoa Pluijm kwenye kuhusiana moja kwa moja na wachezaji ili uongozi uwe na sauti angalau siku za mechi na Simba. Na ndio maana hawakumwarifu Pluijm mapema kwa kuamini kwamba asingekataa nafasi ya ukurugenzi, bila ya kujua kwamba yeye ni Mzungu. Nia yao ilikuwa njema, ila utashi uliizidi busara. Hata njia ya jehanamu imejaa tele nia njema. Mtaka nyingi nasaba hupatikana mwingi msiba.Watu wanajiandaa kimataifa uwezo wa kocha umefikia mwisho pale
mm ni wa mtaa wa msimbaziEeeh! Kumbe wewe ni wa mtaa ule?
Hongera aisee, mimi soka la Bongo limenishinda.mm ni wa mtaa wa msimbazi
Sijaelea ulichoandika ulikua unamaanisha nini, ila inaonyesha maneno yaliondolewa hayakuwa na staha, jifunze kuto husisha maneno mabaya, ukijiona una hasira usipende kuchangia changia hizi msda, pili usipende kukaa kwenye makundi ya watu. Ila ni kukumbushe tu, mchezo huu haitaji hasira.Be consistent. Umesema Yanga kama .....'wasingekuwa na washambuliaji wazuri kwa kiwango cha Tanzania wangefungwa ila Kagera walishambuliwa sana kiasi cha .....'. Halafu kwenye maelezo hayohayo unasema '....... kama walivyoihujumu Kagera juzi.....'. Tushike lipi kati ya mawili haya yanayotofautiana?
Samahani kama umekwazika na maelezo yangu. Lakini mbona naona maneno yote niliyoyatumia ni ya Kiswahili na ya kawaida sana! Maneno pekee yasiyo ya Kiswahili niliyotumia ni 'be consistent'. Ninakuhakikishia kwamba hayo si matusi. Ila kwa sababu yamekukwaza, sitayatumia tena hayo wala mengine ya lugha hiyo kwako.Sijaelea ulichoandika ulikua unamaanisha nini, ila inaonyesha maneno yaliondolewa hayakuwa na staha, jifunze kuto husisha maneno mabaya, ukijiona una hasira usipende kuchangia changia hizi msda, pili usipende kukaa kwenye makundi ya watu. Ila ni kukumbushe tu, mchezo huu haitaji hasira.
Umeanza vizuri ila umevuruga mwishoni. Hii ishu ya Yanga kuhujumu mechi kwanini msiipeleke mahali husika? Kama mnaona TFF hamtasikilizwa ipelekeni FIFA ili hawa wanaonunu mechi waadhibiwe.. Vinginevyo itakua ni taarabu tu kama taarabu nyingine..Tatizo la Yanga sio kocha bali ni beki, yanga ina beki na viungo waliochoka, ndio maana wanafungika vizuri, hata walipo cheza na Kagera, wasingekua na washambuliaji wazuri kwa kiwango cha Tanzania, wangefungwa ila kagera walishambuliwa sana kiasi cha kuwafanya washambulia wa Kagera kushindwa kufanya mashambulizi.
Kwangu mimi kocha Hans ni kocha mzuri sana wa Kiwango cha Afrika, nini uhakika Yanga watajutia kumpoteza Prugen, tusubiri muda utaongea, Huyu Manji na maamuzi yake ya pesa badala ya akili ya michezo kuna siku mtamchukia. Tuendako Simba inaenda kuwa kilbu inyowalipa vizuri wachezaji wake na kilbu yenye pesa, Yanga haitaweza tena kuihujumu kwa kurubuni wachezaji wake ili kupata ushindi, kama walivyoihujumu kagera juzi, ili kwenye kikao Manji aonekane zaidi ya Yanga.