Hanscana music video director "wa moto" zaidi Nchini

Hanscana music video director "wa moto" zaidi Nchini

Sitaki unitajie nyingi, nitajie hata moja ambayo inaweza kucheza ligi moja na hiyo FEEL GOOD YA NAVY KENZO

Kuhusu vifaa ni fact inayojulikana ila hiyo ya kusema directors wa ndani especially hanscana aliwarudisha. Sioni kama ni strong reason na hata leo, ile Era ya SA ilitoa video kubwa na zilizopata rotation kwenye international platforms kuliko sasa ambapo tunategemea "trace muziki" Ambayo ni special kwa muziki wa EAST AFRICA

Kwa hiyo mimi naamini ile ilikuwa ni golden era kwa Bongo music videos ndio maana nikakuomba unitajie video moja tu.. Inayokaa level moja na hizo za Justin campos wa SA
Sasa unataka nikutajie video inayokaa level moja na kina kampos, kwanini usiseme nikutajie video ya Hanscana inayokaa level moja na wenzie kina AJ, Kenny, Ivan na wengine wa bongo[emoji28][emoji28], mimi nimesema Hanscana ni GOAT kwa hapa bongo sijaongelea Mambo ya South, hata kama hajafikia ubora wa 100% sawa na hao wasouth ila still video zake ni bora, ndio maana tunaona wasanii wakubwa kama kina Eddy Kenzo wanavuka boda kuja kufanya naye kazi
 
Kingine nilichomkubali Hanscana, hata kipindi hapewi kazi na WCB bado hakutetereka, still aliendelea kwenda sawa na Kenny aliyekuwa na advantage ya kufanya kazi na Diamond na wasanii wote wa WCB. Nataka nimuone Kenny kama ataendelea kusurvive kwenye industry kama alivyofanya Hanscana alipokuwa akifanya kazi na wasanii wengine
 
hata hanscana ni mwanafunzi wa Nisher kwa hiyo sio case

Hanscana upepo ni wa kwake ile kwenye creativity kenny anajitahidi pia.

Weka mahaba pembeni halafu angalia video kama moyo ya Vanessa au Bear tamu ya Marioo, ukisema jamaa hawezi itakuwa umeamua tu
Kwenye bia tamu waliharibu kwa kuweka brand ya bia. Wangetumia glass ingemsaidia mario
 
Wanaleta videos za nisher za zamani kuna kipindi alienda nje kwa ajili ya kujifunza hayo mambo ila aliporudi akapotea bila kufanya kazi nyingi na wabongo walivyo mazuzu wanajua video ili iwe nzuri ni lazima ing'ae na iwe na mwanga wa kutosha.

ndio wamezoeshwa na diamond hvyo ila huwezi kukuta msanii kama wizkid anatoa clear video nyingi zinakuwa na giza ila ndio best video hata huko ulaya ndo zinakuwa hvyo sasa mtu anataka video iwe clear ndio iwe nzuri.
[emoji23][emoji23][emoji23] kuna content qualification na vision quality jomba.
 
Sasa unataka nikutajie video inayokaa level moja na kina kampos, kwanini usiseme nikutajie video ya Hanscana inayokaa level moja na wenzie kina AJ, Kenny, Ivan na wengine wa bongo[emoji28][emoji28], mimi nimesema Hanscana ni GOAT kwa hapa bongo sijaongelea Mambo ya South, hata kama hajafikia ubora wa 100% sawa na hao wasouth ila still video zake ni bora, ndio maana tunaona wasanii wakubwa kama kina Eddy Kenzo wanavuka boda kuja kufanya naye kazi

🤣🤣🤣 sasa bro wewe si ulisema jamaa kawarudisha wasanii bongo kwa ubora wa video zake, haina tofauti na kusema jamaa kafikia level zao hadi wasanii wakaona kule nje wanapoteza hela tu.. Haina mbaya tumeelewana kiutu uzima 😅
 
Adam Juma heshima kwake kafanya mengi kwakweli, ila bahati mbaya aliangushwa na vifaa vya wakati huo hivyo kwa namna fulani ilizuia tusijue hasa uwezo wake unaishia wapi. Halafu Adam Juma kuna video alikuwa anaflop, mfano video ya Linex 'Salima' , nakumbuka Linex alilia naye sana kwamba amefanya chini ya kiwango, nadhani ndio maana Diamond hakuwahi kumpa kazi maana kwenye hiyo video ya Linex nayeye alikuwepo, sijawahi sikia Hanscana kaflop kiasi cha wasanii kumkimbia. Hiyo ndio inaitwa 'consistency'
Huyo linex alipewa kitu anachostahili kwa pesa yake japo haikuwa nzuri kwa brand ya Adam. Ila hata leo Adam akifanya kazi zake bado unaona bado ana ule ukubwa wake mfano videos kama za Mariioo "unanikosha, inatosha, for you". Unaona bado akiamua kurudi ile fully space yake bado ipo

Kwa hanscana, consistence yake nzuri ila videos zake haswa za indoor na sehemu za starehe nyingi bado zinafanana hasa display ya lights na flow ya video. Tumpe muda zaidi kustahili GOAT ila kwa sasa hata kwa Adam bado anapwaya
 
Kwenye bia tamu waliharibu kwa kuweka brand ya bia. Wangetumia glass ingemsaidia mario
Ile brand kukaa pale ni hela, windhoek wametoa pesa kiti ambacho ni kizuri kurudisha gharama za production
 
Kwani ukisema Hanscana ndio kawafanya Wasanii waache kwenda South na Kenya utapungukiwa nini? Mimi kwa kumbukumbu yangu kipindi Hanscana ameibuka na wenzie kina Nisher walikuwa wanalalamika wasanii wakubwa kutokuwaamini na kwenda kushoot nje, nakumbuka kwa mara ya kwanza Diamond akampa kazi ya 'Nasema nao' akafurahi sana, lakini bado Diamond kazi nyingine anazoziaminia aliendelea kushoot nje kwa kina Godfather na Campos, ila uzuri ni kwamba hawa kina Diamond wakati mwingine walikuwa wanaenda nao hawa directors wa bongo pindi wanaposhoot na hao wasouth, na hapo ndipo Hanscana na wenzie wakaendelea kuwa bora zaidi na hatimaye kuaminiwa
Huyu jamaa hampendi hanscana tu sio bure eti upepo umempitia, upepo gani unakaribia 7 years?

Hanscana alikuwa anazurura na mondi akienda South anachukuliwa akajifunze hanscana sio wa mchezo kabisa.
 
Back
Top Bottom