inafaa kuchanganya?Wakuu Leo weekend yangu ya pili nakunywa haka ka kitu mulua kabisa Cha ajabu asubuhi ipo poa sana na nimeona wakuu hapa wanaagiza kama zote vile .
K-vant na konyagi zimepigwa teke kitaa watu na Hanson's choice tu na mzigo unakula kama umefungwa injini mpya hii kitu ijengewe manara pale ihumwa
USSR
Duh huyu alieandika hizi messages alikuwa ameshakata moto na anaagiza tu masanga.