Nyandajr10
New Member
- Nov 5, 2020
- 2
- 5
Na Brayan Nyanda
Baada ya mechi ya watani wa jadi iliyochezwa jana kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa na kumalizika kwa sare ya goli 1-1
Aliibuka mmoja wa wajumbe wa bodi ya wakurugenzi ya simba na mwenyekit wa zamani wa kamati ya usajili Simba Zachariah Hanspope na kuwatuhumu baadhi ya wachezaji mahiri kwenye Kikosi hicho kucheza chini ya kiwango
Hanspope aliwataja Chama, Miquisone na Bwalya kucheza chini ya viwango vyao
🔧Kawaida tumezoea kuona kauli Kama hizi zikitolewa na Mashabiki wa kawaida na sio viongozi wenye ushawishi Kama Hanspope
Kauli hii aliyotoa Hanspope bila kujua Kama ni ukweli ama sio ukweli hakukua na haja ya yeye kuizungumza kwenye media
🔧Kiongozi Kama yeye kuzungumza kauli Kama hii kuna athari za moja kwa moja ambazo zinaweza kutokea moja kutengeneza pressure kubwa Sana kwa wachezaji na kuwafanya washindwe kucheza vizuri hata kwenye mechi zijazo na mbaya zaidi kauli hii inaweza kuwatengenezea wachezaji chuki kwa Mashabiki na kuyafanya maisha yao kuwa hatarini
🔧Pia kauli itawaimarisha zaidi wapinzani wake na wanaweza wakatumia mwanya huu kufanya hujuma na kuzidi kuibomoa Simba
📍Mwisho kabisa Hanspope amekuwa mtu anaeshindwa kuheshimu wapinzani wake akiamini zaidi simba wana timu imara ambayo ni lazima wapate points 3 kwenye Kila mchezo
📍Binafsi naona ni Vyema viongozi Waache kutoa kauli Kama hizi kwani hazina afya yoyote kwa maendeleo ya mpira wetu
Baada ya mechi ya watani wa jadi iliyochezwa jana kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa na kumalizika kwa sare ya goli 1-1
Aliibuka mmoja wa wajumbe wa bodi ya wakurugenzi ya simba na mwenyekit wa zamani wa kamati ya usajili Simba Zachariah Hanspope na kuwatuhumu baadhi ya wachezaji mahiri kwenye Kikosi hicho kucheza chini ya kiwango
Hanspope aliwataja Chama, Miquisone na Bwalya kucheza chini ya viwango vyao
🔧Kawaida tumezoea kuona kauli Kama hizi zikitolewa na Mashabiki wa kawaida na sio viongozi wenye ushawishi Kama Hanspope
Kauli hii aliyotoa Hanspope bila kujua Kama ni ukweli ama sio ukweli hakukua na haja ya yeye kuizungumza kwenye media
🔧Kiongozi Kama yeye kuzungumza kauli Kama hii kuna athari za moja kwa moja ambazo zinaweza kutokea moja kutengeneza pressure kubwa Sana kwa wachezaji na kuwafanya washindwe kucheza vizuri hata kwenye mechi zijazo na mbaya zaidi kauli hii inaweza kuwatengenezea wachezaji chuki kwa Mashabiki na kuyafanya maisha yao kuwa hatarini
🔧Pia kauli itawaimarisha zaidi wapinzani wake na wanaweza wakatumia mwanya huu kufanya hujuma na kuzidi kuibomoa Simba
📍Mwisho kabisa Hanspope amekuwa mtu anaeshindwa kuheshimu wapinzani wake akiamini zaidi simba wana timu imara ambayo ni lazima wapate points 3 kwenye Kila mchezo
📍Binafsi naona ni Vyema viongozi Waache kutoa kauli Kama hizi kwani hazina afya yoyote kwa maendeleo ya mpira wetu