Fredinho
JF-Expert Member
- May 18, 2016
- 971
- 1,160
Usajili wa kibongo unachekesha, eti straika anamweleza/anampigia simu kiongozi kuwa atapiga goli kila mechi halafu kiongozi asiejua lolote kuhusu mambo ya kiufundi na wala hajawahi kumuona huyo straika anapagaaawa mpaka anamponda Hamis Kiiza 'Diego'.Only in Tanzania.