[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwin dalini na Lavalava wametoka kwenda wapi?
Acha kukariri maisha sio lazima kila mtu apite njia anayopita mwingineHahahaha kama ni kufanya biashara ya music basi hajui anachotaka... unapata bahati ya kusainiwa WCB then unazingua aangalie label zingine kina ibra sijui ki2ga mpaka leo wameshindwa kutoka
Lini na wapi kishawahi kufanya hiyo show na akajaza?Lavalava anaweza simama popote nchi hii akafanya show na akajaza watu sawa na Harmonize au Kiba.
Mchezaji mpya wa Yanga Afrika kutoka kongoNdinani huyu?
....unapata bahati ya kusaini WCB...Hahahaha kama ni kufanya biashara ya music basi hajui anachotaka... unapata bahati ya kusainiwa WCB then unazingua aangalie label zingine kina ibra sijui ki2ga mpaka leo wameshindwa kutoka
Okeeee,Mchezaji mpya wa Yanga Afrika kutoka kongo
Show Show.Okeeee,
Asigale Munu
Afile Munu
Can you name the leading artists in Tanzania?, kama utayapata hayo majina basi utajua nini maana ya lebo ya WCBKwaiyo unataka kutuaminisha WCB tu ndio leo inayotoa wasanii? Au ili utoboe ki mzik lazima uwepo WCB?
Can you name the leading artists in Tanzania?, kama utayapata hayo majina basi utajua nini maana ya lebo ya WCB
Acha makasiriko kwa kunywa maji mengi ya baridi halafu Legeza misuli ya kichwaacha upuuzi bana.
kwahiyo kuongoza huko kunafanya lebel nyingine siziwe lebel???
Uwe unaona aibu muda mwengineCan you name the leading artists in Tanzania?, kama utayapata hayo majina basi utajua nini maana ya lebo ya WCB
WCB ndo label yenye nguvu , kondegang ni kampuni tanzu Tu ya WCB, labda useme king music , Kwa sababu hyo WCB inakuwa ndo label mamaUwe unaona aibu muda mwengine
Hiyo wcb kuwa kubwa haimaanishi kuwa lebel zingine zisiwepo.
Nazungumzia music lebo ambazo zipo active Ni WCB na Konde Gang ambao ni zao la, tofauti na hapo hakuna lebo nyingine inayoweza kusimamisha msanii na akawa juu kwenye Streaming na Mauzo,Uwe unaona aibu muda mwengine
Hiyo wcb kuwa kubwa haimaanishi kuwa lebel zingine zisiwepo.
Vipi kwini yeye anaweza?Lavalava anaweza simama popote nchi hii akafanya show na akajaza watu sawa na Harmonize au Kiba.