Hanstone kinachomkwamisha ni kiburi au wanamsingizia na kumuonea?

Yaani mkuu, sometimes ni kukaa kimya Kwasababu hao wasanii wenyewe pia ni wana, tunajua wanavyosota hivyo tunalindiana heshima tu.
 
Mkuu kwani hapa tunalinganisha label za Muziki ??

Mjadala hapa ni maslahi ya wasanii, bora hata kina Mutta wamewadhulumu kina Saida Karoli halafu wamekaa kimya.

Kuliko sasa hivi mtu kujifanya anakusaidia anakusaidia wakati UNAFIKI tu
mm sikatai kuwa maigizo katika uhalisia hamna, hapana nakubali kabisa maisha ya kwenye mitandao hayana uhalisia kwa kiasi kikubwa. Ila kwa hatua wanazopiga wasanii wa wcb na wachache baadhi zinalidhisha ukiangalia na huko nyuma mziki ulipotoka.
 
Na wewe ukaamini?
Nimeamini sababu walipelekana mpaka Basata na WCB walikuwa wakidai chao na sasa kila mtu yupo kivyake baada ya kulipana.

LABDA KAMA WEWE UNA USHAHIDI MWENGINE ,UNAWEZA UKANIAMBIA JF NI JUKWAA HURU.

ENHEE KWA NINI WEWE HUJA
MUAMINI KONDEBOY?
 
mm sikatai kuwa maigizo katika uhalisia hamna, hapana nakubali kabisa maisha ya kwenye mitandao hayana uhalisia kwa kiasi kikubwa. Ila kwa hatua wanazopiga wasanii wa wcb na wachache baadhi zinalidhisha ukiangalia na huko nyuma mziki ulipotoka.
Mkuu hapa No hating.

Ni kweli Muziki wa bongo fleva umeanza kulipa. Ila haulipi kwa wasanii mkuu.

Kuna genge la watu ambalo hata siyo wasanii ndio wanaofaidi matunda ya Muziki.

Huyo Diamond anafaidi kwa kuwa hilo genge limemwona ni fighter na hivyo limeamua kumfanya Partner.

Chain nzima ya burudani bado wana hali tete mnoo: Wasanii, Producers, Directors, Models, Social Media marketers, n.k
 
Kuna waongo na kuna wewe
 
Basi hali ni mbaya sana, maana wenzetu wamepiga hatua sana. Wimbo mmoja mtu anatengeneza ukwasi kabisa.
 
Basi hali ni mbaya sana, maana wenzetu wamepiga hatua sana. Wimbo mmoja mtu anatengeneza ukwasi kabisa.
Mkuu muziki una stress sana. Wewe waone tu wasanii hivyo hivyo.

Tena ukipata jina kubwa halafu huna hela, utapata tabu sana. Utakuwa unasalimia kila mtangazaji wa Radio hata kama ni mdogo wako ili akupigie ngoma zako ili upate Show 🀣🀣🀣 ( hapa kina Dozen wameabudiwa sana )
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ dah maisha haya.
 
Tutake tusitake WCB wanajitahd bhana , wasanii wao wapo vizur japo wanatofautiana mana ni ukwel unapata kulingana na unachoingiza eg lava lava huwez mfananisha na Rayvan .... Kuhusu maisha Yao ya social media kuwa tofaut na Uhalisia hlo ni swala la kawaida , hata mtu ukiwa na Ka mshahara Ka laki nne Kwa mwez uwezo wa kufake maisha unao , just kuwa na simu Kali ,unainstal app za Adobe Photoshop na lighting ,na app kibao za kuscan na kuedit picha ,kuwa na vinguo nguo ,na kuvist sehemu nzur nzur mara moja moja .... Mtandaoni unaonekana don

Wasanii wa WCB siyo choka mbaya hyo hata kama mtandaoni wanaonekana smart , nakataa mpak Kesho , huenda ni chuki Tu za watu kuwa-undermine na kujifanya tunawajua....

Huyo konde boy mnayemtetea nyie haters wa WCB na kumuita mwanaume asingepata mema yote hayo kama WCB ingekuwa na wasanii choka mbaya .....
 
wasanii wa bongo ni wasanii haswaaaaaa
nimekuelewa sana hapa...
halafu mnaoishi kinondoni mnawafaidi sana hawa wasanii
 
mwambie tu ukweli ilo genge ni la wauza unga
 
Hili suala haliongelewi ila ingekuwakwa homeboy wa Tandale mwenzangu Naseeb watu wangetunisha misuli ya shingo kwa kutoa povu la maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…