Zuchu hakuna kitu pale,sauti kavu,wenzake huanza na hit song ila yeye kachemshaYupo anachomeshwa Maindi pale Wcb, bajeti ya kumtoa kumfanyia Promo haipo,. Promo la Zuchu Limewatia hasara bora wangemtoa kimya kimya
Ngoja wakati wake kurudi unakaribia, utamsikia wasafi ndie anaefata baada ya zuchu.
yule mtoto ni hatari sana kupotea kiholela vile [mawazo yangu yanavyonituma]
hata mbosso wakati anaanza na ule wimbo wake wa watakubali watu wengi walimbeza kama hivi... lakin leo mbosso ni habari nyingineZuchu hakuna kitu pale,sauti kavu,wenzake huanza na hit song ila yeye kachemsha
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo anachomeshwa Maindi pale Wcb, bajeti ya kumtoa kumfanyia Promo haipo,. Promo la Zuchu Limewatia hasara bora wangemtoa kimya kimya
"vaa nguo nzuri muda mwingine kuficha umasikini na ujinga wako"
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nenda sinza kituo cha t garden kona ya lion hotel nyumba ya pili mkono wa kulia kama unakwenda kijiweni, gonga hodi utapata taarifa zake zote
Mboso alikua hatari toka Ya moto band, Acheni kufaninisha kijingahata mbosso wakati anaanza na ule wimbo wake wa watakubali watu wengi walimbeza kama hivi... lakin leo mbosso ni habari nyingine
hivo sishangai kuona huyu dada anashambuliwa hivi, muda ni hakimu mzuri sana
Tatizo lako wewe ni kuwa lile Group ni hatari... Limefyonza akili zako zote, umebaki kutapatapa km mvumo wa debe tupuMboso alikua hatari toka Ya moto band, Acheni kufaninisha kijinga
Bila shaka wewe ndio CEO wa WCB maana mpaka mambo ya bajeti unayafahamu , huko vizuri , nasikia Dodo limeozaYupo anachomeshwa Maindi pale Wcb, bajeti ya kumtoa kumfanyia Promo haipo,. Promo la Zuchu Limewatia hasara bora wangemtoa kimya kimya
Mbosso walau alikua tayari ana nafasi nzuri since alikua ni msanii wa Yamotohata mbosso wakati anaanza na ule wimbo wake wa watakubali watu wengi walimbeza kama hivi... lakin leo mbosso ni habari nyingine
hivo sishangai kuona huyu dada anashambuliwa hivi, muda ni hakimu mzuri sana
Hiv kwanini wewe jamaa unachuki Sana?Mbosso walau alikua tayari ana nafasi nzuri since alikua ni msanii wa Yamoto
Nafasi nzuri ipi? wote tunafahamu nani alikuwa akiibeba yamoto bandMbosso walau alikua tayari ana nafasi nzuri since alikua ni msanii wa Yamoto
Mbosso alikua ni msanii wa Yamoto tunamjua way back, haikuwa kazi ngumu sana kumuamini kuwa atafanya vizuri.Nafasi nzuri ipi? wote tunafahamu nani alikuwa akiibeba yamoto band
Kusema Mbosso alikua ana nafasi ya kuaminika kwenye game kirahisi kwasababu alikua Ya Moto ndiyo chuki???Hiv kwanini wewe jamaa unachuki Sana?