Nakaa kutimiza matakwa yake hataki kutoa talaka maana hapa imebakia ndoa jina hakuna kinachoendeleaKwanini uendelee kukaa na mwanaume asiyetulia kwenye ndoa? Shida nini?
Wewe ndio humtakiNakaa kutimiza matakwa yake hataki kutoa talaka maana hapa imebakia ndoa jina hakuna kinachoendelea
Unamjua huyu dada? Mbona unambishia kitu ambacho anaishi nacho kwake. Ni sawa na wewe utuletee story ya nyumbani kwako humu tukubishie...Wewe ndio humtaki
Muache nikuoe Mimi nitakuwa nakusikiliza ila uwe na maokoto na uwe hujazidi 40Yaani angekua anakubali ningemleta humu mumsikilize na yeye maana mpaka nduguze wanamsema ana kiburi
Kimchepuko ndo kinakutia kiburi uvunje mji wako ila jua ukishakuwa na watoto wawili ndoa ndo baibaiNdio napambana sasa nikiwa bize na yangu anahisi namdharau
Yaani hyu nae ni wale wale yaani utasema naishi nae anavolazimishia mamboUnamjua huyu dada? Mbona unambishia kitu ambacho anaishi nacho kwake. Ni sawa na wewe utuletee story ya nyumbani kwako humu tukubishie...
You see?
Sina mchepuko na wala sifikirii kua nao niache kuwaza pesa nijiongeze stress za maishaKimchepuko ndo kinakutia kiburi uvunje mji wako ila jua ukishakuwa na watoto wawili ndoa ndo baibai
I concur ,watataThis Beijing gender always potray themselves as innocent and saints.
Never trust 'em.
Eh ! Ni huyu mtu sijuiSijakuelewa....
Hakiki comment ako juu ya unae mquotes tafadhali.
Ok.Eh ! Ni huyu mtu sijui
Muombee ...Habari WanaJamiiForums
Mimi ni mama wa watoto wawili na ndoa ya miaka kumi hapa nilipo sijui furaha ya ndoa ni ipi.
Nina mume ambae anajiona yeye ni mkamilifu ila mimi hata nifanye nini nianakosea hajawi kuapriciate chochote nifanyacho lazima akosoe tu.
Ana tabia ya kucheat nimeamua kukaa kimya napo anaona namdharau anafanya mambo yake kwa uwazi mpaka watoto wanaona na yanawathiri najiuliza hii ni ndoa au ndoano?
Angalau angesema labda he/she needs to hear the other side of the story to know where its all going wrong. Maana, probably bi dada alishampa sana trauma her husband zinazomfanya awe hivyo alivyo.Unamjua huyu dada? Mbona unambishia kitu ambacho anaishi nacho kwake. Ni sawa na wewe utuletee story ya nyumbani kwako humu tukubishie...
You see?
Sijawahi mpa trauma yoyote angekubali nae kujieleza ingekua poa ila ndio hivo haiwezekani kuna mdau alitoa hoja ya kua alikosa malezi yenye upendo utotoni hii imenijengea kujua tatzo lipo wapi ni kweli kabisa kwa historia yake alilelewa kwa manyanyaso sana mpaka kukua kwake hakuwahi kupata upendo wa mamaAngalau angesema labda he/she needs to hear the other side of the story to know where its all going wrong. Maana, probably bi dada alishampa sana trauma her husband zinazomfanya awe hivyo alivyo.
Tafuteni walezi wenu wa ndoa au wasimamizi, washenga pia if possible mzungumze, ujue shida ipo wapi..? Hapa unachofanya sio sahihi, you keep on guessing on where it all went wrong wakati unakaa naye wewe na you can just talk it all out na mme wako. Communication is everything kwenye maisha ya ndoa especially siku hizi. Kaa nae ujue shida ni nini..? Maana siamini kama alikuwa hivi kabla hajakuoa..Sijawahi mpa trauma yoyote angekubali nae kujieleza ingekua poa ila ndio hivo haiwezekani kuna mdau alitoa hoja ya kua alikosa malezi yenye upendo utotoni hii imenijengea kujua tatzo lipo wapi ni kweli kabisa kwa historia yake alilelewa kwa manyanyaso sana mpaka kukua kwake hakuwahi kupata upendo wa mama
Hilo la kwenda kwa washenga nimeshajaribu kwenda hafiki akipewa wito ,nakaa chini namuuliza kwa upendo tatzo lipo wapi ili nijue hasemi akiamua kununa mwaka mzima ni ananuna sasa mzima mwenye watoto akiamua kununia mpaka watoto wake kweli hapo kuna usalama c lazima uhisi huyu mtu ana matatzoTafuteni walezi wenu wa ndoa au wasimamizi, washenga pia if possible mzungumze, ujue shida ipo wapi..? Hapa unachofanya sio sahihi, you keep on guessing on where it all went wrong wakati unakaa naye wewe na you can just talk it all out na mme wako. Communication is everything kwenye maisha ya ndoa especially siku hizi. Kaa nae ujue shida ni nini..? Maana siamini kama alikuwa hivi kabla hajakuoa..
Ishakua ndoano hioo
Aweke picha na number, members wampe muongozo...Ishakua ndoano hioo
Huyo ni pure Narcissist, jitahidi kusoma kuhusu Narcissist's behaviour na jinsi ya kupambana nao.Sijawahi mpa trauma yoyote angekubali nae kujieleza ingekua poa ila ndio hivo haiwezekani kuna mdau alitoa hoja ya kua alikosa malezi yenye upendo utotoni hii imenijengea kujua tatzo lipo wapi ni kweli kabisa kwa historia yake alilelewa kwa manyanyaso sana mpaka kukua kwake hakuwahi kupata upendo wa mama
Wewe ndio msaada pekee uliobakia kwake msaidie uko alipo akili yake aweze kuirudishaKwani nilikwambia sijatulia nachoogopa ni hyo kuharibika watoto