Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Dah yani bongo kupeana ramani ya kupiga maisha huwaga ngumu sana yani 😅😅😅 mtu akikupa ishu labda ambayo ya kipuuzi ya mshahara laki na nusu! Ila kazi za kueleweka hamna mtu atakupa hintsKaka usitegeme tajiri kukutafutia kaz zaid ya kupigwa kalenda km mm nilivyopigwaga kalenda na bosi flan hv wa taifa gase tena jiran yangu haswa niliishia kuambiwa nasafir kidg kwend US after one week or two mpk nikakata tamaa nae