Hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya

Hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya

Kaka usitegeme tajiri kukutafutia kaz zaid ya kupigwa kalenda km mm nilivyopigwaga kalenda na bosi flan hv wa taifa gase tena jiran yangu haswa niliishia kuambiwa nasafir kidg kwend US after one week or two mpk nikakata tamaa nae
Dah yani bongo kupeana ramani ya kupiga maisha huwaga ngumu sana yani 😅😅😅 mtu akikupa ishu labda ambayo ya kipuuzi ya mshahara laki na nusu! Ila kazi za kueleweka hamna mtu atakupa hints
 
kule mbezi kwa zena kuna gari za kawaida kila aina bwana huyo asitutishe [emoji2][emoji2]
Sehemu ambapo kuna gari kali kali ni upanga tena ule mtaa wa Mindu kwenye Gorofa za minduplace nikiwa pale naenjoy sana.

Kwingine huku Toure Dr Masaki ukikaa hapa Cliffside Residence unaona Kwanzia gari kali/Sea Cliff Sea view safi kabisa
Gari za hatari kaa mataa ya Palm Beach tu aisee utaona jinsi ambavyo tunasindikiza maisha wenzetu hapa bongo!
 
Tatizo la Bongo nyumba ikianza kuungua moto Fire Brigade mpaka watoke Bandarini au Airport wafike Oysterbay nyumba ishateketea.

Unapofananisha Bongo na Ulaya usifananishe majengo tu.

Angalia miundombinu pia.
Ukiona una nyumba kali hivo unaweka vifaa vya kuzima moto vile wanaweka juu ya ceiling, pia ujenge urafiki na watu wa zima moto uwe na namba zao kabisa[emoji3]
 
Wiki jana nilienda kwa aunt yangu Kijichi kuna mitaa fulani ya ushuani fulani. Sasa nikasahau namba ya nyumba na jina la mtaa maana wana vimitaa vidogo vingi

Akawa hapatikani kwa simu, yeye alijua napakumbuka. Nilikuwa nakumbuka njia mbili, ya kutokea kwa Zombe yule askari au ya kutokea kwa Filikunjombe.

Kilichonichanganya katikati mitaani nilikutana na mbwa koko wengi kuliko watu. Yani Kijichi kuna mijibwa mingi njiani. Nikakumbuka hata kwetu pale sisi ndio wa kishua, mapaka hayakomi kuzalia kwetu ila sijawahi ona yanazaliana kwa majirani.

Conclusion niliyopata. Hata mbwa koko na mapaka yanajua wapi kuna makombo yakushibisha. Wanapokula miguu ya kuku na kutafuna mifupa yote hawawezi tembelewa na mbwa koko hata siku moja.

Jamani tutafute hela hata wanyama watuheshimu.
Huku Moshi kuna Bar inaitwa Vegas, mi paka ya hapo ni minene na imependeza kichizi[emoji28] hata mkiwa pale haina shobo ya kutafuta chakula. Na misosi ya pale ni mikuku na chips
Hii ilinifundisha kwamba paka nao ni kama binadamu,huwa maisha yakiwa vizuri wanapendeza
 
Mkuu maisha ya huko Oysterbay nimeishi sana tena ktk hiyo mijumba ya kifahari ila asikwambie mtu mkuu mambo yanayotokea usiku ni hatari sana yaani hao wenye hiyo mijumba wanafuga viumbe vyakutisha

Amini mkuu hao watu wanamaagano yakishirikina
Mnamkumbuka yule rais Habyarimana wa Rwanda aliyeuliwa wakati ndege yake inatua ? , alikuwa anafuga joka kubwa mno, na dakika chache baada ya kifo chake lile joka lilipotea na halikuonekana tena licha ya kwamba lilikuwa ndani ya cage
 
Gari za hatari kaa mataa ya Palm Beach tu aisee utaona jinsi ambavyo tunasindikiza maisha wenzetu hapa bongo!
Yani ndugu yangu achaa kuna ile njia iliyochepuka kushoto kama unatokea salenda kwenda posta si kuna cross road pale palm, ukipita hio unatokea nyuma ya Crdb kule masoko Kuna magari jamani [emoji114]
 
Yah nilishawah kuuliza sehemu nikakuta 50 kwa 100 milioni 250.... Niliishiwa pozi.

Kule ni msala aiseee kuna bar inautwa kingazi. Nouma.

Na sipati picha zile nyumba zikianza kutumika za nssf
Kingazi resort....nakaa mita chache sn kutoka hapo,Ila Mimi siyo mtu wa mitoko.Ni sehemu Safi sn Kwa wenye pesa zao..nikipiga zangu jogging mida ya usiku kuelekea nssf road daily kingazi hapakauki gari

Jamaa amekomba wateja wote wa bar za turn up na gateway
 
Ile road inayoishilia Aga Khan ile 😅😅😅
Pia kuna road inayoanzia round about ya clouds pale mikocheni kuelekea mbezi beach..kule kuna gari za nchi za dunia ya Kwanza za kutosha sn

Nikiwa pale nasubiri daladala ya kawe kurudi zangu mbagala nazihesabu sn🤣🤣
 
Pia kuna road inayoanzia round about ya clouds pale mikocheni kuelekea mbezi beach..kule kuna gari za nchi za dunia ya Kwanza za kutosha sn

Nikiwa pale nasubiri daladala ya kawe kurudi zangu mbagala nazihesabu sn🤣🤣
Hahah vidude vya million 200 na ushee
 
Imani za kijinga,yaani Mungu akunyime ukwasi kwa vile utajiua? sasa kwanini asizuie hicho kifo, na akupe mihera kibao,
Hutakiwi kushukuru kama hujatafuta
shukuru kwanza kwa ulichonacho then uongeze juhudi ili ushukuru tena
 
Dah yani bongo kupeana ramani ya kupiga maisha huwaga ngumu sana yani [emoji28][emoji28][emoji28] mtu akikupa ishu labda ambayo ya kipuuzi ya mshahara laki na nusu! Ila kazi za kueleweka hamna mtu atakupa hints

Kabisa!mtu anaona mchongo huu hapa lkn nikimpa Extrovert roho inakuw nzito anaona km utamzidi
 
Dah halafu tunategemea kizazi cha roho mbaya kiishe?

Yan kiuhalisia mwanangu hizi ngozi nyeusi tunaroho flan hv ya ubinafs wengn anapenda akikutana na mwana aombwe hela tu siku zote ili umnyenyeke ila kukupa mchongo endapo akisikia anaona tabu alaf ilishapita ndio anakupasha
 
Dah yani bongo kupeana ramani ya kupiga maisha huwaga ngumu sana yani 😅😅😅 mtu akikupa ishu labda ambayo ya kipuuzi ya mshahara laki na nusu! Ila kazi za kueleweka hamna mtu atakupa hints
Bongo kama unahitaji uone faida kidogo kwenye biashara, jitutumue uwe muuzaji wa jumla. Chagua bidhaa zako hata tatu tu.

Fanya utafiti kwa machinga na kwenye retail shops, then fanya pricing yako anza kuwasambazia.

Utakuwa na soko tayari lisilo na hassles kubwa.
 
Yan kiuhalisia mwanangu hizi ngozi nyeusi tunaroho flan hv ya ubinafs wengn anapenda akikutana na mwana aombwe hela tu siku zote ili umnyenyeke ila kukupa mchongo endapo akisikia anaona tabu alaf ilishapita ndio anakupasha
au ukizunguka ukapata kazi pale pale anaaza kujifanya mwana sana
 
Hahaha uliza wewe mkuu..hahaha hua nacheka sana aisee ukikutana na waliokata tamaa ya maisha au walioamua kua maskini ukikuta wanachoongea unaweza kuaga haraka na kuondoka kwa kasi, mtu anachamba na makaratasi anasema ameridhika na maisha, mtu mtoto wake kafa sababu alikosa shilingi elfu 10 ya kununua dawa anasema karidhika na maisha ya kifukara kwamba anashukuru kwa kila jambo, na ukikuta ni wamekaa kinyonge na nyimbo ni za dini za kulilia mateso shida, majonzi, machozi, n.k
Kwa hiyo matajiri hawaridhiki?!!
Wale masela kule masaki Chanika ndani huko yani niliwakuta kama wana serikali yao ,wako Poa tu hamna stress na kuna mama muuza anawahudumia na kuna mabinti kadhaa nao wanagonga vyombo gongo. Ndumu jamaa wanalivuta tu kama fegi.
aisee walinifikirisha sana,nikiwaza mi madeni niliyonayo jinsi kulipa,+kodi alafu jamaa wanakula bata kivyao porini huko bila mawazo nikawaonea wivu haswa.
Polisi kule hamna

We acha tu nilijifkiria sana,maana nikaona yaani madeni huko benki,kodi, hawa jamaa wako zao wanakula bata kivyao.
Bangi linavutwa kama fegi hamna polisi kule alafu wana kakibanda kana nyanya 2-3 tudagaa kidogo,vimafuta vya kula wamekaandika supermarket😂😂😂.
🤣
 
Back
Top Bottom