Hapa duniani kuna mbegu mbili; aliyopanda Mungu na ile aliyopanda Shetani

Hapa duniani kuna mbegu mbili; aliyopanda Mungu na ile aliyopanda Shetani

Kigonash

Senior Member
Joined
Mar 20, 2020
Posts
113
Reaction score
106
Kuna andiko katika biblia sikumbuki mstari gani lakini nakumbuka yesu alikuwa anafundisha wafuasi wake akasema mpanzi alikwenda kupanda mbegu katika konde lakini zilipoota zikaota na magugu mwenye shamba alauliza mbona nilipanda mbegu nzuri magugu yametoka wapi? Yesu akawaambia yule mwovu Usk alienda shambani kupanda magugu.

Basi akawaambia wafanyakazi wake yaacheni magugu na ngano ziote na kukua kwa pamoja siku ya mavuno tutachukua ngano na kuweka ghalani na magugu tutayakusanya na kuyachoma.

Sasa yesu alitoa ufafanuzi kuwa shamba au konde ni ulimwengu mpanzi ni mungu mwenyewe.kwa hiyo humu duniani kuna wana wa mungu na wasio wa mungu tunaishi nao na ndo wanaoleta mitihani yote haya humu duniani.

Watu hawa ambao ni wana wa ibiilisi hawana chembe ya hofu ya mungu na wanamtukana mumgu na kumdhihaki.

Walipatikana vip malaika waasi walizaa na binti za wanadamu wakazaliwa hao wasiomwogopa mungu na ni watu wenye uwezo mkubwa wenye akili na wenye kusifiwa sana biblia kitabu cha mwanzo mstati sikumbuli lakini inaeleza kuwa wana wa mungu walizaa na binti za wanadamu. Hao wana wa mungu ni malaika waasi.

Kwa hiyo hata hii corona huenda ni kazi ya hao watoto wa hao wana wa mungu waliozaliwa kwetu duniani kwa kuwa lengo lao ni kuweka ufalme wao duniani na kuteka dunia nzima isimwabudu mungu ila ibilisi
 
Cha kuchekesha mungu ameelezwa kama binadamu mwenzetu,anawatoto,hukasirika nk sasa mbona inachanganya na kaumba shetan ila kamzidi uwezo .Hivi sisi bado hatujamzidi kweli? Huenda tushapitiliza!
 
Kuna bongo movie naangalia hapa et kuna mzimu unachapwa ili uongee useme nani mchawi!!😂😂

Mkuu ndo hizo mbegu mbaya au..??😂
 
Cha kuchekesha mungu ameelezwa kama binadamu mwenzetu,anawatoto,hukasirika nk sasa mbona inachanganya na kaumba shetan ila kamzidi uwezo .Hivi sisi bado hatujamzidi kweli? Huenda tushapitiliza!
Sio cha kuchekesha, huo ndio ukweli tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Hushangai kwamba Yesu alikufa na tunamwabudu kama Mungu baadhi yetu. Kuna kweli ambazo usipozijua utahangaika sana na ulimwengu huu. Mungu anauwezo wa kujifanya chochote apendacho hata kuwa bacteria na akabaki kuwa Mungu.
 
Cha kuchekesha mungu ameelezwa kama binadamu mwenzetu,anawatoto,hukasirika nk sasa mbona inachanganya na kaumba shetan ila kamzidi uwezo .Hivi sisi bado hatujamzidi kweli? Huenda tushapitiliza!
😂😂😂
 
M
Sio cha kuchekesha, huo ndio ukweli tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Hushangai kwamba Yesu alikufa na tunamwabudu kama Mungu baadhi yetu. Kuna kweli ambazo usipozijua utahangaika sana na ulimwengu huu. Mungu anauwezo wa kujifanya chochote apendacho hata kuwa bacteria na akabaki kuwa Mungu.
Mimi nijuacho yesu alisema sisi Ni miungu pia😀.
 
Kuna andiko katika biblia sikumbuki mstari gani lakini nakumbuka yesu alikuwa anafundisha wafuasi wake akasema mpanzi alikwenda kupanda mbegu katika konde lakini zilipoota zikaota na magugu mwenye shamba alauliza mbona nilipanda mbegu nzuri magugu yametoka wapi? Yesu akawaambia yule mwovu Usk alienda shambani kupanda magugu.

Basi akawaambia wafanyakazi wake yaacheni magugu na ngano ziote na kukua kwa pamoja siku ya mavuno tutachukua ngano na kuweka ghalani na magugu tutayakusanya na kuyachoma.

Sasa yesu alitoa ufafanuzi kuwa shamba au konde ni ulimwengu mpanzi ni mungu mwenyewe.kwa hiyo humu duniani kuna wana wa mungu na wasio wa mungu tunaishi nao na ndo wanaoleta mitihani yote haya humu duniani.

Watu hawa ambao ni wana wa ibiilisi hawana chembe ya hofu ya mungu na wanamtukana mumgu na kumdhihaki.

Walipatikana vip malaika waasi walizaa na binti za wanadamu wakazaliwa hao wasiomwogopa mungu na ni watu wenye uwezo mkubwa wenye akili na wenye kusifiwa sana biblia kitabu cha mwanzo mstati sikumbuli lakini inaeleza kuwa wana wa mungu walizaa na binti za wanadamu. Hao wana wa mungu ni malaika waasi.

Kwa hiyo hata hii corona huenda ni kazi ya hao watoto wa hao wana wa mungu waliozaliwa kwetu duniani kwa kuwa lengo lao ni kuweka ufalme wao duniani na kuteka dunia nzima isimwabudu mungu ila ibilisi
Umesema hao wana wa mungu wana upeo mkubwa wa akili....swali: wewe Kama mwana wa mungu mwenye upeo mkubwa wa akili..umefanya nini cha maana ili kuthibitisha huo upeo mkubwa wa akili..
Swali:Umesema corona imekuja kuondoa watu waliokuja kuteka na kuweka ufalme wao..hao watu ni kina nani??...
...swali:wewe Kama mwana wa mungu mwenye upeo mkubwa wa akili... Je? asili ya yesu ni ipi.....na nani aliyeanadika biblia........
....naomba unijibu.....
 
Umesema hao wana wa mungu wana upeo mkubwa wa akili....swali: wewe Kama mwana wa mungu mwenye upeo mkubwa wa akili..umefanya nini cha maana ili kuthibitisha huo upeo mkubwa wa akili..
Swali:Umesema corona imekuja kuondoa watu waliokuja kuteka na kuweka ufalme wao..hao watu ni kina nani??...
...swali:wewe Kama mwana wa mungu mwenye upeo mkubwa wa akili... Je? asili ya yesu ni ipi.....na nani aliyeanadika biblia........
....naomba unijibu.....
Hujasoma vzr hoja yangu Mimi sikusema Mimi ni mwana wa mungu ila biblia ilisema kulikuwa na wana mungu waliozaa na binti za wanadamu. Wana wa mungu ni malaika. Kwa jina lingine wanaitwa watchers. Pia kwa upande mwingine sisi ni kazi yake mungu ambapo tulipewa dunia tuitawale. Kwa hao wanaoitwa Wana wa mungu waliozaa na binti za wanadamu watu hao walikuwa tofauti sana na normal human being wana uwezo mkubwa wa akili tofauti na sis wanadamu.

Hoja yangu ni kwamba duniani humu hatuko peke yetu na hao watu waliozaliwa ambao ni mchanganyiko wa gene za malaika na wanadamu ni wana wa ibilisi hapa duniani na wanapambana na mbegu rasmi aliyopanda mungu duniani. Ambao ni sisi wanadamu wenye akili ya kawaida.

Nadhani umenielewa mpaka hapo sijui kama nimekujibu vzr ingawa nilitaka unielewe
 
Sio cha kuchekesha, huo ndio ukweli tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Hushangai kwamba Yesu alikufa na tunamwabudu kama Mungu baadhi yetu. Kuna kweli ambazo usipozijua utahangaika sana na ulimwengu huu. Mungu anauwezo wa kujifanya chochote apendacho hata kuwa bacteria na akabaki kuwa Mungu.
Kwaiyo Mungu anauwezo wa kuwa mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom