Siyo tu Karatu Mkuu.Salam,Toka Dicemba nilienda kununua Azam hazijafika.Nimerudi Jana tena maduka ya Karatu yote hayana hizi decorder za Azam.
Nikanunua Dstv nikasema ngoja nione wakoje.
Wakanipa kifurushi Cha 37,000 kama offer,nikaongeza 24,000 kiwe Cha 60,000.
Kwenye upande wa muziki mengi ni mamiziki ya wanigeria. Mpira angalau kidogo ila Kuna channe ya Travel haipo Kwa 60,000.
Azam hiyo channel yangu pendwa naipata Kwa 25,000.
Nikipata Decorder ya Azam naweka sandukuni Dstv.
Ni sawa,ila Channel ninayoipenda naipata Kwa 25000 Azam kwann nilipie 165,000 Dstv,Travel channelDStv unaona kulingana na pesa yako
Hakuna channel ya muhimu isiyokuwepo DStv,fungua pochi
Ukiwa na DStv nyumbani ni sawa na upo maktaba
Ni sawa,ila Channel ninayoipenda naipata Kwa 25000 Azam kwann nilipie 165,000 Dstv,Travel channel
Dstv iko juu kwa channel kama ID, NatGeo Gold, Movies, nk. Azam ni ya Mahouse girl hiyo..Salam,Toka Dicemba nilienda kununua Azam hazijafika.Nimerudi Jana tena maduka ya Karatu yote hayana hizi decorder za Azam.
Nikanunua Dstv nikasema ngoja nione wakoje.
Wakanipa kifurushi Cha 37,000 kama offer,nikaongeza 24,000 kiwe Cha 60,000.
Kwenye upande wa muziki mengi ni mamiziki ya wanigeria. Mpira angalau kidogo ila Kuna channe ya Travel haipo Kwa 60,000.
Azam hiyo channel yangu pendwa naipata Kwa 25,000.
Nikipata Decorder ya Azam naweka sandukuni Dstv.
DSM toka November 30 hakuna afadhali huko December, kwa aliyepata ni kwa kuokoteza sanaSalam,
Toka Disemba nilienda kununua Azam hazijafika. Nimerudi Jana tena maduka ya Karatu yote hayana hizi decorder za Azam.
Nikanunua Dstv nikasema ngoja nione wakoje.
Wakanipa kifurushi Cha 37,000 kama offer, nikaongeza 24,000 kiwe Cha 60,000.
Kwenye upande wa muziki mengi ni mamiziki ya wanigeria. Mpira angalau kidogo ila Kuna channe ya Travel haipo Kwa 60,000.
Azam hiyo channel yangu pendwa naipata Kwa 25,000.
Nikipata Decorder ya Azam naweka sandukuni Dstv.
Nafikiri watu wa stock waliyumba wamepunguza bei vikanunuliwa kwa wingi wakati hawajaandaa stock nyingine sijui waliamini inatoshaShida nini
Agiza Arusha.Salam,
Toka Disemba nilienda kununua Azam hazijafika. Nimerudi Jana tena maduka ya Karatu yote hayana hizi decorder za Azam.
Nikanunua Dstv nikasema ngoja nione wakoje.
Wakanipa kifurushi Cha 37,000 kama offer, nikaongeza 24,000 kiwe Cha 60,000.
Kwenye upande wa muziki mengi ni mamiziki ya wanigeria. Mpira angalau kidogo ila Kuna channe ya Travel haipo Kwa 60,000.
Azam hiyo channel yangu pendwa naipata Kwa 25,000.
Nikipata Decorder ya Azam naweka sandukuni Dstv.