Hapa kazi tu!

Hapa kazi tu!

Daraja2

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2017
Posts
249
Reaction score
299
Bora ya MTU ni yule aliye Fanya kazi ya halali kwa mikono yake 2 kwa kutoka jasho na kuitimizia familia yake mahitaji ya msingi kupitia kipato hicho cha halali kama vile kukata/kukusanya kuni polini na kuuza mjini,ukuli bandarini au kusukuma mkokoteni.Madhara ya kazi za ofisini ni kupata bp,kisukari nk.

Sent from my HUAWEI Y360-U82 using JamiiForums mobile app
 
7994c0e76a7b90298616484e770b3d01.jpg
 
Back
Top Bottom