pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Mandelaa hamna cha kiki wala nini.Hapa kazi tu nimeiona jana ikitumiwa kwenye kampeni hapa Kenya.Tena imeandikwa kwa lugha ya kimeru.Nikasema dah,ni siku nyingi tu!Kuna namna nyingi za kutafuta kiki.
Mkuu,sijataja mtu aisee.Wala sina nia ya kumtaja yeyote ule!Unaongelea mropokaji wetu?
Swissme
We vipi?Jameni,nishajitambulisha zamani tu,soma hapo juu jombaa!Wewe ni mtanzania au mkenya
Hebu kuwa muwazi mkuu unamaanisha kamalaika ketu kasikojaribiwaAsalaam aleykum wakuu. HAPA KAZI TU! ilikuwa ni kauli nzuri sana kutoka kwa majirani zetu wapendwa. Kauli hii niliipenda sana na niliifananisha na ile kauli ya baba wa taifa la Kenya,hayati Mzee J.Kenyatta,yaani HARAAMBE! tuvute kwa pamoja. Ambayo hadi sasa hivi ndo 'motto' ya taifa letu tukufu la Kenya. Mbona mkaacha kutumia kauli hii ambayo iliashiria mwamko mpya na nguvu ya kafanya kazi kwa pamoja kama hapo awali? Je kauli hii tutaisikia tena kama tulivoisikia meizi kadhaa iliyopita? Ningependa kujua tafadhali. Shukran.
Hapa kazi tu!Asalaam aleykum wakuu. HAPA KAZI TU! ilikuwa ni kauli nzuri sana kutoka kwa majirani zetu wapendwa. Kauli hii niliipenda sana na niliifananisha na ile kauli ya baba wa taifa la Kenya,hayati Mzee J.Kenyatta,yaani HARAAMBE! tuvute kwa pamoja. Ambayo hadi sasa hivi ndo 'motto' ya taifa letu tukufu la Kenya. Mbona mkaacha kutumia kauli hii ambayo iliashiria mwamko mpya na nguvu ya kafanya kazi kwa pamoja kama hapo awali? Je kauli hii tutaisikia tena kama tulivoisikia meizi kadhaa iliyopita? Ningependa kujua tafadhali. Shukran.
Umejitambulisha vizuri sana mkuu ila si unajua vijana wa ccm uelewa wao ni mdogo sanaWe vipi?Jameni,nishajitambulisha zamani tu,soma hapo juu jombaa!
Hehe,sisemi kitu jombaa!Kama wanavosema vijana mitaa ya Nairobi,'nakuonea 18'!Sitokubali kamwe uzame nami kwenye dimbwi hilo!Umejitambulisha vizuri sana mkuu ila si unajua vijana wa ccm uelewa wao ni mdogo sana
Uwazi gani tena jombaa,kwangu itakuwa vigumu sana kuvuka daraja hilo zaidi ya hapo aisee!We fanya kweli mkuu!😀Hebu kuwa muwazi mkuu unamaanisha kamalaika ketu kasikojaribiwa
Ate waaat!Hapa kazi tuu inayoendelea huko ni kumdhulumu rooney kimapenzi, jamaa amehakikisha nyeti zake zimemgusa rooney na mkono mwingine kwenye tako la waza...binadam ovyoo sana hawaView attachment 541885View attachment 541886
Hapa kazi tuu inayoendelea huko ni kumdhulumu rooney kimapenzi, jamaa amehakikisha nyeti zake zimemgusa rooney na mkono mwingine kwenye tako la waza...binadam ovyoo sana hawaView attachment 541885View attachment 541886
Duh!Hii sasa tunaita kucatch mafeelings!Hehe!Hivi WAKENYA KWANINI MNAPENDA
SANA MABO YA KISHOGA
mAANA HATA BUNGE LENU LINAPENDA SANA HIZI HABARI,
Pia mana mji wenu mmoja wa pwani ndio unasifika kwa mambo haya,
Maana swala la rooney kukumbatiwa hata mataifa mengine wanafanya,
inakuaje ww mkenye unapeleka ufahamu wako kwenye mambo ya ngono,
Je ww ukikumbatiwa hivyo au vinginevyo,tukiite shoga.
Hebu kuweni wastaarabu,
Unatafuta kiki kwa pikipiki[emoji23]Asalaam aleykum wakuu. HAPA KAZI TU! ilikuwa ni kauli nzuri sana kutoka kwa majirani zetu wapendwa. Kauli hii niliipenda sana na niliifananisha na ile kauli ya baba wa taifa la Kenya,hayati Mzee J.Kenyatta,yaani HARAAMBE! tuvute kwa pamoja. Ambayo hadi sasa hivi ndo 'motto' ya taifa letu tukufu la Kenya. Mbona mkaacha kutumia kauli hii ambayo iliashiria mwamko mpya na nguvu ya kafanya kazi kwa pamoja kama hapo awali? Je kauli hii tutaisikia tena kama tulivoisikia meizi kadhaa iliyopita? Ningependa kujua tafadhali. Shukran.