IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Kwa jinsi Muungwana anavyo wajibika kwa sasa si ndiyo anazidi kukiruka kiunzi 2010? hatujui tutamrushia madongo yapi, kwani yeye kama yeye hakika anaendelelea kuisafisha ile njia,
Tuangalie tusije tukakosa mshiko, !!!!!
Nadhani zile hoja za kufichua ufisadi tungeanza sasa si mwaka jana, hawa jamaa wanaendelea kujisafisha
Sijaelewa kwamba wanapowapeleka akina Mramba baada ya uchaguzi watawafutia kesi zao ama?
Nimeipenda ile style yao.
Ama nina makengeza?
Tuangalie tusije tukakosa mshiko, !!!!!
Nadhani zile hoja za kufichua ufisadi tungeanza sasa si mwaka jana, hawa jamaa wanaendelea kujisafisha
Sijaelewa kwamba wanapowapeleka akina Mramba baada ya uchaguzi watawafutia kesi zao ama?
Nimeipenda ile style yao.
Ama nina makengeza?