Hapa kuna mapenzi ya kweli?

Mwache halafu njoo tuambie amekwambia nini ulipomuacha maana mlopoanza mapenzi yetu hukutushirikisha na kuweza kummonitor tabia zake....
 
Mwache halafu njoo tuambie amekwambia nini ulipomuacha maana mlopoanza mapenzi yetu hukutushirikisha na kuweza kummonitor tabia zake....

Magulumangu ngoja nimwache,halafu nitaleta feedback
 
Embu achana na fikra mgando...ukabila mpaka kwenye mapenzi?!Kwani kwenye kabila lake ndo hamna wasichana wenye dharau na majigambo?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…