Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uje nawe na mtazamo maoni yako na sio kumdis,mwamba kwa viwango hivyo 🤔😂😂😂😂😂
ime bidi nicheke kwenye conclusion yako mzee ume andika shudu mixa pumbu sorry pumba
KTutachelewa sana sahizi ni muda wa kufuatilia mambo yetu
Hizi ndio sababu Wazungu wengi wanaamini ugali sio wa chakula cha binadamu.Muda mfupi baada ya chombo Cha Titan kupoteza mawasiliano na kupotea kabisa tunasikia habari za Wanamgambo kutaka kuvamia Moscow, hapa ndio penye maswali sana.
Kwa nini, matukio hayo yafuatane kwa karibu?
Kwa nini tukio la kupotea kwa chombo Cha TITAN linaezwa na tukio la Wagner kutaka kuivamia Urusi?
Mawasiliano kwenye chombo Cha Titan yalipotea ghafla tena kwa kasi ya ajabu, kwa nini tena kikiwa na teknolojia za juu sana za mawasiliano?
Kupotea kwa chombo Cha Titan , kunataka kufanana na kupotea ndege ya Malaysia MH370 iliyopotea 2014 , ndege ile ilikuwa na mawasiliano ya juu kabisa?
Hitler alishindwa kuifikia Moscow akiwa na jeshi la Askari wasiopungua milioni 10 alipigwa kwa nini Wagner wahisi ni jambo rahisi hivyo?
Baada ya kutafakari kwa kina juu ya hayo nimegundua Siri kubwa imejificha tena sana. Kwa sababu:
Anayeongoza kwa teknolojia za kisasa kabisa za chini, baharini na Angani ni......
Tusimchukulie poa Russia , ana Siri za kutisha sana
Acha ujinga wewe kabla ya kuzama kwa Titan kuna boti imezama huko Greece imeua zaid ya watu 700 watu mko kutangaza hao watu 5 tuMuda mfupi baada ya chombo Cha Titan kupoteza mawasiliano na kupotea kabisa tunasikia habari za Wanamgambo kutaka kuvamia Moscow, hapa ndio penye maswali sana.
Kwa nini, matukio hayo yafuatane kwa karibu?
Kwa nini tukio la kupotea kwa chombo Cha TITAN linaezwa na tukio la Wagner kutaka kuivamia Urusi?
Mawasiliano kwenye chombo Cha Titan yalipotea ghafla tena kwa kasi ya ajabu, kwa nini tena kikiwa na teknolojia za juu sana za mawasiliano?
Kupotea kwa chombo Cha Titan , kunataka kufanana na kupotea ndege ya Malaysia MH370 iliyopotea 2014 , ndege ile ilikuwa na mawasiliano ya juu kabisa?
Hitler alishindwa kuifikia Moscow akiwa na jeshi la Askari wasiopungua milioni 10 alipigwa kwa nini Wagner wahisi ni jambo rahisi hivyo?
Baada ya kutafakari kwa kina juu ya hayo nimegundua Siri kubwa imejificha tena sana. Kwa sababu:
Anayeongoza kwa teknolojia za kisasa kabisa za chini, baharini na Angani ni......
Tusimchukulie poa Russia , ana Siri za kutisha sana
K ? which kind of K are you talking about 🤣
Pumbavu kabisa, unatupotezea bundle tu nyoko zako.Muda mfupi baada ya chombo Cha Titan kupoteza mawasiliano na kupotea kabisa tunasikia habari za Wanamgambo kutaka kuvamia Moscow, hapa ndio penye maswali sana.
Kwa nini, matukio hayo yafuatane kwa karibu?
Kwa nini tukio la kupotea kwa chombo Cha TITAN linaezwa na tukio la Wagner kutaka kuivamia Urusi?
Mawasiliano kwenye chombo Cha Titan yalipotea ghafla tena kwa kasi ya ajabu, kwa nini tena kikiwa na teknolojia za juu sana za mawasiliano?
Kupotea kwa chombo Cha Titan , kunataka kufanana na kupotea ndege ya Malaysia MH370 iliyopotea 2014 , ndege ile ilikuwa na mawasiliano ya juu kabisa?
Hitler alishindwa kuifikia Moscow akiwa na jeshi la Askari wasiopungua milioni 10 alipigwa kwa nini Wagner wahisi ni jambo rahisi hivyo?
Baada ya kutafakari kwa kina juu ya hayo nimegundua Siri kubwa imejificha tena sana. Kwa sababu:
Anayeongoza kwa teknolojia za kisasa kabisa za chini, baharini na Angani ni......
Tusimchukulie poa Russia , ana Siri za kutisha sana
Kumer.K ? which kind of K are you talking about 🤣
Kwa Wegner huenda lingekuwa jambo rahisi. Kumbuka kuwa kumekuwa na mashambulizi mengi mjini Moscow na St. Petersburg kwa kuwa hata ndani Rusia Wegner walisambambazwa kila mahali kuimarisha usalama wa raiaHitler alishindwa kuifikia Moscow akiwa na jeshi la Askari wasiopungua milioni 10 alipigwa kwa nini Wagner wahisi ni jambo rahisi hivyo?
bado haijustify upupu ulio uandika hapa yaani kupotea kwa chombo baharini unataka kuhusisha teknolojia ya urusi? kwamba walihack system ya kale kadude ama?
na iyo ishu ya hao wana mgambo uliona NATO ama Us wakitia neno lolote kwa siku ya jana? hawakua na papara kuweza kushoboka na walicho kifanya wagner maana it was a bait sasa ww mmatumbi unakuja na conclusion zako baada ya kushiba magimbi na ulanzi
Haya ni makasiriko ya BAVIKama kawaida wabongo kujifanya wachambuzi mabobevu.
Shenzi kabisa. Unaacha kuchambua njaa ya familia yako na Taifa kwa ujumla kujifanya mchambuzi wa urusi
Yaani Wanamgambo wawashinde Red Army, Spetnaz na vikosi vingine vya makomandoo? Hata kama ni Upro NATO lakini haiwezekani kabisa nchi yoyote duniani kuivamia Urusi kwa vita vya ardhini ikafanikiwaKwa Wegner huenda lingekuwa jambo rahisi. Kumbuka kuwa kumekuwa na mashambulizi mengi mjini Moscow na St. Petersburg kwa kuwa hata ndani Rusia Wegner walisambambazwa kila mahali kuimarisha usalama wa raia
Non spurious observer atakiri kuwa jeshi la Urusi limeshindwa na Wegner ndiiyo maana hata Putin alikimbilia mafichoni. Wewe pro Spetnaz onesha kushindwaHaya ni makasiriko ya BAVI
Yaani Wanamgambo wawashinde Red Army, Spetnaz na vikosi vingine vya makomandoo? Hata kama ni Upro NATO lakini haiwezekani kabisa nchi yoyote duniani kuivamia Urusi kwa vita vya ardhini ikafanikiwa
Muda mfupi baada ya chombo Cha Titan kupoteza mawasiliano na kupotea kabisa tunasikia habari za Wanamgambo kutaka kuvamia Moscow, hapa ndio penye maswali sana.
Kwa nini, matukio hayo yafuatane kwa karibu?
Kwa nini tukio la kupotea kwa chombo Cha TITAN linaezwa na tukio la Wagner kutaka kuivamia Urusi?
Mawasiliano kwenye chombo Cha Titan yalipotea ghafla tena kwa kasi ya ajabu, kwa nini tena kikiwa na teknolojia za juu sana za mawasiliano?
Kupotea kwa chombo Cha Titan , kunataka kufanana na kupotea ndege ya Malaysia MH370 iliyopotea 2014 , ndege ile ilikuwa na mawasiliano ya juu kabisa?
Hitler alishindwa kuifikia Moscow akiwa na jeshi la Askari wasiopungua milioni 10 alipigwa kwa nini Wagner wahisi ni jambo rahisi hivyo?
Baada ya kutafakari kwa kina juu ya hayo nimegundua Siri kubwa imejificha tena sana. Kwa sababu:
Anayeongoza kwa teknolojia za kisasa kabisa za chini, baharini na Angani ni......
Tusimchukulie poa Russia , ana Siri za kutisha sana