Hapa kuna Siri imejificha?

😂😂😂😂😂
ime bidi nicheke kwenye conclusion yako mzee ume andika shudu mixa pumbu sorry pumba
Uje nawe na mtazamo maoni yako na sio kumdis,mwamba kwa viwango hivyo 🤔
 
Hizi ndio sababu Wazungu wengi wanaamini ugali sio wa chakula cha binadamu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Acha ujinga wewe kabla ya kuzama kwa Titan kuna boti imezama huko Greece imeua zaid ya watu 700 watu mko kutangaza hao watu 5 tu
 
Pumbavu kabisa, unatupotezea bundle tu nyoko zako.
 
Hitler alishindwa kuifikia Moscow akiwa na jeshi la Askari wasiopungua milioni 10 alipigwa kwa nini Wagner wahisi ni jambo rahisi hivyo?
Kwa Wegner huenda lingekuwa jambo rahisi. Kumbuka kuwa kumekuwa na mashambulizi mengi mjini Moscow na St. Petersburg kwa kuwa hata ndani Rusia Wegner walisambambazwa kila mahali kuimarisha usalama wa raia
 

Kama kawaida wabongo kujifanya wachambuzi mabobevu.

Shenzi kabisa. Unaacha kuchambua njaa ya familia yako na Taifa kwa ujumla kujifanya mchambuzi wa urusi
Haya ni makasiriko ya BAVI
Kwa Wegner huenda lingekuwa jambo rahisi. Kumbuka kuwa kumekuwa na mashambulizi mengi mjini Moscow na St. Petersburg kwa kuwa hata ndani Rusia Wegner walisambambazwa kila mahali kuimarisha usalama wa raia
Yaani Wanamgambo wawashinde Red Army, Spetnaz na vikosi vingine vya makomandoo? Hata kama ni Upro NATO lakini haiwezekani kabisa nchi yoyote duniani kuivamia Urusi kwa vita vya ardhini ikafanikiwa
 
Kale kachombo ka titan kako kabatini kremlin marehemu wanaliwa supu kwa hasira.
 
"Mawasiliano kwenye chombo Cha Titan yalipotea ghafla tena kwa kasi ya ajabu"



Sasa ni muda sahii nihame bongo..!
 
Haya ni makasiriko ya BAVI

Yaani Wanamgambo wawashinde Red Army, Spetnaz na vikosi vingine vya makomandoo? Hata kama ni Upro NATO lakini haiwezekani kabisa nchi yoyote duniani kuivamia Urusi kwa vita vya ardhini ikafanikiwa
Non spurious observer atakiri kuwa jeshi la Urusi limeshindwa na Wegner ndiiyo maana hata Putin alikimbilia mafichoni. Wewe pro Spetnaz onesha kushindwa

 

Sometimes uwe unaficha ujinga kama huu, so delusional damn [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…