kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Kaka shkamoo. Mdogo wako naomba nipate assess ya hizi video za tessi, lulu divana na uwoya [emoji120][emoji120]. Shkamoo sana
Unataka ukaburudike[emoji4][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka shkamoo. Mdogo wako naomba nipate assess ya hizi video za tessi, lulu divana na uwoya [emoji120][emoji120]. Shkamoo sana
Nataka nione sura nzito kama ya uwoya inakuaje ikishaukalia mshededeUnataka ukaburudike[emoji4][emoji23][emoji23][emoji23]
Marubani twasema "that's bravo roger'tutashangaa ila sio kwenye album yake au kajipiga picha kwenye simu wewe unakwenda kuifukunyua alafu unaleta lawama....
Nataka nione sura nzito kama ya uwoya inakuaje ikishaukalia mshedede
Ukitumiwa hautazitumia vbaya zlatuletea matatizo?Unataka ukaburudike[emoji4][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa pakua Mange kimambi app kisha lipia 2500 yake,jisajiri kisha tafuta hizo mambo[emoji120][emoji23][emoji23]
Wa zamani walikuwa hawatamanishi, walikuwa wachafu wachafu, wamekomaa, hawako soft na hawakuwa na mikao tamanishiHuyo mzazi kazi yake ni nini ?
Sio mtu anakuwa model anatangaza Lingerie unataka avae baibui !!!!
To each their own....
View attachment 2693373
Hata leo hapa wakija watu wa Imani nitawapinga kwa kuwauliza kwenye maandiko yao kama Adam; Hawa; Eva; Chausiku (no matter you wanna call them kama walivaa nguo)
By the way nguo zingekuwa part ya binadamu basi binadamu wangezaliwa na suti / shuka
Misikitini ndio utaona vizuri yanavyobanwa na Hijab, labda kama hujawahi Ingia hukoSijaona utupu hapo, nimeona structure ya tako, na kila siku hizo structure mimi naziona barabarani, Hospital, Makanisani, labda msikitini tu ndo sijaona.
Misikitini ndio utaona vizuri yanavyobanwa na Hijab, labda kama hujawahi Ingia huko
Kwahio kosa ni watu kutamanisha zaidi ya zamani ?Wa zamani walikuwa hawatamanishi, walikuwa wachafu wachafu, wamekomaa, hawako soft na hawakuwa na mikao tamanishi
Naomba kuwasilisha
Suala la watu kubakana umesema wewe, mimi ninachokuambia ni kuwa Wanawake hao wa zamani hawakuvaa kwa lengo la kuwatega na kuwatamanisha wanaumeKwahio kosa ni watu kutamanisha zaidi ya zamani ?
By the way hujasikia msemo wa in the world of the blind, the one eyed man is King ? Its all relative, kwahio kwa point yako kwenye zile nudity beach watu huwa wanabakana mwanzo mwisho ?
Au nikichukulia anachosema mleta uzi kwamba hivi viungo ni sacred...., for argument sake hata mama akimpa ziwa mtoto wake anyonye inabidi amfunge macho ili asimchungulie.....,
Ukifuatilia sana haya mambo utagundua most of our arguments zina viashiria vya hypocrisy..
Tunasubiria wengiZipo huko mjini mtandaoni kaka[emoji1666][emoji16]
Pfunk ashiatemana nae huyo kitambo... ana familia nyingine katuliaP funk atakua anajuta saaana dah