Dialogist
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 1,167
- 1,872
Wanabodi Habari Za Mchana...
Nimekaa nikatafakari kwa kina matokeo ya uchaguzi mkuu wa Chadema 2025, hasa katika ushindi wa Tundu Antipas Lissu Kwenye Nafasi Nyeti Na Ya Juu Kabisa Ya Chama, Mwenyekiti Wa Chama.
Hali hii inanipelekea kujiuliza na kuwauliza ninyi mambo kadhaa kwa mustakabali wa taifa letu. Je uwepo wa Lissu Katika nafasi hiyo na uwepo wa Mwabukusi kama mkuu wa taasisi ya umma ya sheria, na uwepo wa Dr. Slaa kama mzee wa nyaraka za siri za ndani kabisa, kutabadili mwelekeo wa siasa na maendeleo ya taifa letu?
Je, mikataba itafumuliwa upya?
Je tutarajie wabunge wengi zaidi mwaka huu kutoka upinzani kuliko miaka yote ya nyuma?
Au business as usual...
Nini matarajio yako ndugu mdau??
Nimekaa nikatafakari kwa kina matokeo ya uchaguzi mkuu wa Chadema 2025, hasa katika ushindi wa Tundu Antipas Lissu Kwenye Nafasi Nyeti Na Ya Juu Kabisa Ya Chama, Mwenyekiti Wa Chama.
Hali hii inanipelekea kujiuliza na kuwauliza ninyi mambo kadhaa kwa mustakabali wa taifa letu. Je uwepo wa Lissu Katika nafasi hiyo na uwepo wa Mwabukusi kama mkuu wa taasisi ya umma ya sheria, na uwepo wa Dr. Slaa kama mzee wa nyaraka za siri za ndani kabisa, kutabadili mwelekeo wa siasa na maendeleo ya taifa letu?
Je, mikataba itafumuliwa upya?
Je tutarajie wabunge wengi zaidi mwaka huu kutoka upinzani kuliko miaka yote ya nyuma?
Au business as usual...
Nini matarajio yako ndugu mdau??