Hapa Mahindi na mikate ni bidhaa adimu kwa sasa

Hapa Mahindi na mikate ni bidhaa adimu kwa sasa

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
Hapa chuo kikuu X ni kua wauzaji wa mikate na mahindi wanasema wanauza sana Booooooom linapokata.Wanasema kipindi wanachuo wakiwa na Boom hizi bizaa ni adimu,kwa majirani zangu hapo Mz--be dogo kaniambia mihogo ni inalika si mchezo,ndio maisha,dhahabu safi hupita kwe moto mkali
 
Si useme tu ni udom kwa wajasi, wapi viazi na karanga za kuchemsha....
 
Dada leo anasema ameshindia Maandazi na tax zinawakomba
 
Xio udomu ni tawi la Udsm somewhere
 
Back
Top Bottom