Hapa Moze Iyobo umezingua kwa kumuita binadamu mwenzio nyani

Maneno mengi afu point hakuna huwo mda ulotumia kuandika huwo utumbo wako vipi ungeutumia hata kupika ugali c ungeiva kabisa
 
Moze na harmo urafiki wapi na wapi. Hamna kutetea hapo akiri tu kakosea yaishe.(wote kabla hawajapata hela walikua na sura chachu zaidi ya mbilimbi)
Hahahaha
Oooh my God!!!

Ngoja nilifuatilie hiki kisa vzuri niangalie namna ya kumtetea Iyobo
 
Me nmeelewa kwene "kichwa kama ya la chemli" kiasi anafanana
 
Kosa kubwa sana ulaya unafungwa kumuita binadamu mwenzio sokwe au nyani wazungu ndowalikuwa na tabia hizi za kishenzi ila Nina mashaka na huyu jamaa anaweza kuwa ni pilau hamonaiz anajipigia iweje ammaindi mtu asiyeusikanae kama anagombania bwana vile mwanaume mzima mi ndomana hawa wcb siwapendi kabisa.mtu kujifananisha na mtu maarufu ni jambo la kawaida kabisa tatizo kujiskia na ushamba mwingi
 
Uvamizi
 
Namkubali sana Iyobo lakini kwa alichokifanya sio poa kabisa, hivi ina maana hakuwaza kabisa feelings za Harmorapa akisikia kafananishwa na nyani? Sasa yeye Iyobo huo uzuri anaouringia kautengeneza yeye? Sifa zote ni zake Mungu na kila kiumbe ameumbwa kwa kusudio maalum, ukiona mtu hakuvutii jua hukuumbiwa wewe ana wake tu aliyekusudiwa. No matter how u are,everyone has someone who will treasure.
 
Sasa mtu anaishi kwa kukata viuno mbele ya wanaume wenzake (sio kosa) ila tunapata wasi anapoanza kujisifia sura na kukandia wanaume wenzake eti wabaya! Hizi tabia zitatumalizia vijana.
Ndio mwanzo wa kuliwa kiboga huo,mwanaume kujisifia uzuri si jambo la kawaida
 
Wamuache harmorapa wetu....hivi unadhani wazazi wetu wangepewa option ya kuchagua sura za watoto wao unadhani kuna ambaye angekuwa alivyo..... Hapa mosee kazingua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…