Hapa Mwalimu alikuwa ana futuru na nani na nani?

Hapa Mwalimu alikuwa ana futuru na nani na nani?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1107094
 
Kawawa hayupo pichani hapo. Wa kushoto kabisa ni Sheikh Ali Hassan Mwinyi, wa katikati simjui lakini siyo Kawawa.
 
hao itakuwa wazee wa darisalama wa enzi hizo wazee wa kamati, kamati ya ufundi...acha kabisa hao wazee
Umenikumbusha Mwalimu alisema kipindi wanahangaika na uhuru WAZEE walikuwa wanampeleka kwenye 'Dua' za jadi, na yeye ingawa alikuwa mkorofi kwenye hayo mambo lakini alilazimika kushiriki ili waende sawa.
 
Back
Top Bottom