Hapa Mwalimu alikuwa ana futuru na nani na nani?

Hapa Mwalimu alikuwa ana futuru na nani na nani?

Naona hapo teacher keshashika udhu anapiga ftari ya muhogo wa nazi na samaki wa kibua,,

apo kuna mzee tambaza na tewa said tewa,,kama nimekosea potelea mbali,,
 
Back
Top Bottom