Bujibuji mafuriko
Member
- Aug 5, 2022
- 88
- 119
Ndugu Zangu hii kitu naiwazaga Sana. Kuna huduma zinatakiwa zitolewe Kwa uharaka mkubwa na Kwa nchi za wenzetu ukifanya hivyo ukapiga hizi namba mfano
Najua pia tupo wengi ambao hatukuwahi kufanya hivi japo wenzetu maulaya huko.. ukiona hata Mtu anakuangalia Sana, anakukodolea mimacho, unatoa taarifa polisi. Huku kwetu kama ni mwanaume mwanamke anakukodolea unaona yes katepeta. Anyway tuachane na hiyo.
Tujuzane hivi tunapopata matatizo common Sana mfano bongo vibaka na kajirani hawatoki kusaidia ukipigia hawa jamaa wanafika?? Hii Elimu bongo haipo kabisa MTU anapambania kivyake.
Ukiona sehemu Kuna watu kichakani unaachia tu.
Ukapiga mamlaka mengine za huduma za dharula haichukui dakika washaamsha safari Kwa Kasi ya kubwa. Hapa bongo vipi???Najua pia tupo wengi ambao hatukuwahi kufanya hivi japo wenzetu maulaya huko.. ukiona hata Mtu anakuangalia Sana, anakukodolea mimacho, unatoa taarifa polisi. Huku kwetu kama ni mwanaume mwanamke anakukodolea unaona yes katepeta. Anyway tuachane na hiyo.
Tujuzane hivi tunapopata matatizo common Sana mfano bongo vibaka na kajirani hawatoki kusaidia ukipigia hawa jamaa wanafika?? Hii Elimu bongo haipo kabisa MTU anapambania kivyake.
Ukiona sehemu Kuna watu kichakani unaachia tu.