Mtoto wa kisuma aliyekulia mjini si mshamba kama wasukuma wengine wanavyoitwa washamba.
si mbaya, anakaa sehemu nzuri japo hatujui ni kwake au kapanga.Kuna vijana watamponda ili hawajawahi/hawatawahi kuishi sehemu kama hiyo..kwa makazi hapa ni pazuri na sina shida.. Hiyo ofisi ndio upupu mkubwa.. kweli msanii mkubwa kama kajala unakua na ofisi ndogo kama hiyo?? Je kwanini anaweka ofisi nyumbani??? Au lengo ni kukwepa kulipa kodi??? Means kama nina kazi nikugongee gate nyumbani???Je hajui kuweka ofisi nyumbani inakaribisha wizi nyumbani kwako au maadui zako kuweza kuku-study zaidi??pia ningependa kujua hiyo KAJALA ENTERTAINMENT ndio hicho kiofisi au kuna company nyingine na hiyo ni part of the company..??? Je hiyo kajala entertainment amesajili kama ofisi au company????kama kajala entertainment ndio hiyo ofisi hapo amefeli kabisa kwa kua hiyo ofisi ni ndogo, ipo nyumbani, na aina ya business anayofanya ni very small ukilinganisha na umaarufu/jina wake/lake... NILICHOJIFUNZA HAWA WASANII WANA kampani/marafiki wabaya au wasio na uelewa mkubwa, huyu angetafuta rafiki/mshauri msomi anayejielewa kwenye kitengo cha business angem-brand apige biashara kubwa/kisasa zaidi
Yaani hapo kwenye viatu nilijua duka[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Yaan kupanga ndo waje watuonyeshe tena inaelekea wamejirekodi na simuNasikia kapanga
Ana mtoto mmoja mkubwa tu so yameanguka kwa sababu maalumAna booonge la manyonyo aisee, yameangukaaaaaaa.....
Atakuwa mgeni hapa mjini.Kuna jamaa mshambamshamba wa sweden anakula kiulani.
Kuna wakupika,kufua nguo na garden.Kwa maisha ya kibongobongo huyu dada kajitahidi... ukichukulia yeye celebrity
Maana maisha yao macelebrity wetu maigizo tupu.
...Anaonekana msafi
.....Ana aibu
...Nimeshangazwa kusema ana wafanyakazi 3, wote hao kwa kazi gani humo ndani!
Sasa mtu upo home kwako, skin jeans ya nini wakati umetoka bafuni? kitu dera chukuchuku, full hewa, hata joto hulisikii...kutoka kuoga + dera 'chukuchuku!'
...sipati picha;nahisi camera yangu mbovu!
Hivi hawa wasanii unawajua? Si ajabu hapo kaja kufanyiwa interview wala sio kwake! Hayupo comfortable kabisa [emoji15] [emoji15] [emoji15]Wengi tukitoka kuoga tunatupia Madera chukuchuku tu. Ya nini kujibana hom kwako mwenyewe. Kanishangaza tu hayuko comfortable na camera/ interview. Utafikiri nyumba ya kuazima au kalazimishwa asivae bra.
Nimeupenda mpangilio wake wa nyumba. Japo ndogo, arrangement nzuri
Sio kwake hapo mipicha ya ukutani kajibandikia kwa ajili ya interviewYaan kupanga ndo waje watuonyeshe tena inaelekea wamejirekodi na simu
Shameless
Duu hapa nimecheka balaaNimepoteza dakika 9:39 za maisha yangu kutazama hio video hapo juu.