Hapa ndipo huwa ninautukuza utukufu wa Mwenyezi Mungu

Hapa ndipo huwa ninautukuza utukufu wa Mwenyezi Mungu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1614585469083.png

Unanunua viatu unavaa vinakwisha lakini hii ngozi iliyoumbwa na Mungu inaishi.
 
Hapo ngozi imeishi kweli Sky Eclat au ni macho yangu ya ^Juma-tar-two^ ndiyo hayaoni!??? Au ndiyo unataka kuhalalisha akina dada tutembeee uchi kama ambavyo wengine washajianzia!???
 
Hata kwato za ng'ombe haziishi lakini zikifanywa soli ya kiatu zinaisha.. ndio ujue kuna uhai(seli hai huzalishwa kufidia zilizokufa jana)
 
Hata kwato za ng'ombe haziishi lakini zikifanywa soli ya kiatu zinaisha.. ndio ujue kuna uhai(seli hai huzalishwa kufidia zilizokufa jana)
Na kuitibu hii miguu inawezekana, akishaoga asugue miguu kwenye jiwe, hii dead skin iondoke. Apake Vaseline na avae socks kutunza moisture.
 
Back
Top Bottom