Hapa ndo pamenishinda ndugu zanguni. Ngoja nibaki tu na UPWIRU

Hapa ndo pamenishinda ndugu zanguni. Ngoja nibaki tu na UPWIRU

Sijui wewe unaonaje...
Naona kimeumuka hapo nyuma

Screenshot_20241030-200144.png
 
Kwa hio hapo nyuma shimo lako hali haitamaniki bawasiri sio bawasiri yaan hapaeleweki wahuni wanavyokufukua mtaro

Huu uzoefu umeutoa wapi?

Nenda hospitali ukatibiwe kabla hujaanza kudondosha ammonia fertilizer
 
1. Nianze mfukuzia demu
2. Nimtongoze nimshawishi mpaka anikubalie
3. Kisha nianze kuwa natatua shida zake
4. Ni maintain yeye kubaki au kuwa nipambane niendelee kubaki naye atumie pesa zangu?


WALLAH WACHA NIBAKI NA UPWIRU. NIKIZIDIWA NAJICHUKULIA SHERIA MKONONI. YEYE ABAKI NA KIPOCHI UNYEVU CHAKE NAMI NABAKI NA PESA ZANGU. NGOMA DRAW.
Nikusaidie kupata mchuchu mtandaoni, ila akikubali sharti liwe naanza mimi kutoa lock.
 
1. Nianze mfukuzia demu
2. Nimtongoze nimshawishi mpaka anikubalie
3. Kisha nianze kuwa natatua shida zake
4. Ni maintain yeye kubaki au kuwa nipambane niendelee kubaki naye atumie pesa zangu?


WALLAH WACHA NIBAKI NA UPWIRU. NIKIZIDIWA NAJICHUKULIA SHERIA MKONONI. YEYE ABAKI NA KIPOCHI UNYEVU CHAKE NAMI NABAKI NA PESA ZANGU. NGOMA DRAW.
Kwa kifupi ni kwamba hutaki kuwa mwanaume. Sasa sijui unataka kuwa nani?
 
Back
Top Bottom