Napajua,,, Tanzania nzima misitu iliyonyooka hivyo ni Sao hill Mafinga,nadhani ni matokea na juhudi la mashirika ya Danish chini ya miradi Yao ya hifadhi mazingira...Hapana HAPANA mkuu...
Naona umekua specific kabisa.
Unapajua illigal sio πππ
too late kukuua?Mda unakuja kugundua its too late..
ππππππππ
Kwa mimi hii njia kama ya NjombeSpecifically ni wapi maana nimejifunza humu wote ni wazungukaji wanaijua nchi vilivyo
Unataja taja tuu..njombe
Hapa vikindu pwani moja hii
Atakaye win hii mwambie aje nina 10K yakeNa hapa je View attachment 2788683
Saaafi saaafi....Napajua,,, Tanzania nzima misitu iliyonyooka hivyo ni Sao hill Mafinga,nadhani ni matokea na juhudi la mashirika ya Danish chini ya miradi Yao ya hifadhi mazingira...
Hapa Mafinga,ukishuka Mitaa hiyo Kuna shule inaitwa Kawawa ,ya JWπππ
NishajibuAtakaye win hii mwambie aje nina 10K yake
oldonyo lengai
Hata mimi nahusika katika hii compitation mkuuπππππππAtakaye win hii mwambie aje nina 10K yake
Ngoja aje mwalimu wa Mathe
Vyote vyote.. mda unagundua mimi sipo hapo tena... ππππtoo late kukuua?
Bado ujajibu....Nishajibu
Jamani si nimesema hapo ni Mafinga,njia panda ya kwenda shule ya sekondari Kawawa,,,nitumie kwenye number hii hiiππBado ujajibu....
Weee sio picha ile...Jamani si nimesema hapo ni Mafinga,njia panda ya kwenda shule ya sekondari Kawawa,,,nitumie kwenye number hii hiiππ